Rais Kikwete atembelea msikiti wa Sultani Qaboos Grand Oman

Sijaona ubaya wa rais wa TZ kutembea pale anapotaka, kwani marais wote duniani wanafanya ivo. Kukubali mwaliko pekee ni kuonesha Heshima ya taifa lake, na kuondoka kwake haimaanishi kama shughuli za serikali zimesimama, WAZIRI MKUU hamujui majukumu yake kama rais hayupo?
Wale wooote wanaomlaumu kikwete kwa kuenda kutembea ni wanafiki tu, hata nyie mkiwa rais hamutokataa mwaliko wowote hata kama kuna matatizo nchini kwenu! Mnatafuta la kumlaumia tu mwenzenu, nobody is perfect! Mnajifanya wafuasi wa slaa mnaona ndio atakaeleta maendeleo katika nchi, mmekaa kama wageni katika siasa, mpeni madaraka sasa muone atakavoranda na yeye.
 
Sijaona ubaya wa rais wa TZ kutembea pale anapotaka, kwani marais wote duniani wanafanya ivo. Kukubali mwaliko pekee ni kuonesha Heshima ya taifa lake, na kuondoka kwake haimaanishi kama shughuli za serikali zimesimama, WAZIRI MKUU hamujui majukumu yake kama rais hayupo?
Wale wooote wanaomlaumu kikwete kwa kuenda kutembea ni wanafiki tu, hata nyie mkiwa rais hamutokataa mwaliko wowote hata kama kuna matatizo nchini kwenu! Mnatafuta la kumlaumia tu mwenzenu, nobody is perfect! Mnajifanya wafuasi wa slaa mnaona ndio atakaeleta maendeleo katika nchi, mmekaa kama wageni katika siasa, mpeni madaraka sasa muone atakavoranda na yeye.

Tatizo la sisi wabongo tunaamini kabisa maisha yetu yatabadilishwa na wanasiasa yaani tunaota mchana,hata aje malaika toka mbinguni awe rais wetu bila sisi kufanya kazi,kuacha majungu nakuheshimu mamlaka za dola na kuheshimiana sisi kwa sisi hakuna tunachofanya zaidi ya kusukuma siku tu,maendeleo yetu yapo mikononi mwetu sio kwa wanasiasa
 
haya Mh. rais the honeymoon is over come back home and man up,kukimbia matatizo sio suluhisho,ata uikimbie nchi mara ngapi utalaumiwa wewe kama mambo hayaendi,.rudi nyumbani amani inatoweka na ikitoweka investment za mwanao zitatoweka
 
nashukuru ndugu yangu kwa kumfahamisha uyo jamaa aliyetaka kupotosha umma kwa kusema Ati JK ameingia na Viatu msikitini akasahau kuwa hapo si mahala pa kuswalia safi sana msikiti una eneo kubwa na hata siku moja Duniani kote hakuna Muislam anayeingia na Viatu msikitini....na wala asishangae Kikwete kuingia na Suti Uislam haukatazi vazi la suti vazi lolote analovaa mtu anaruhusiwa ili mradi livuke magoti........
 
Pahala popote unapopewa mapokezi ya ugeniwa heshima i.e state visit mambo kama kuoneshwa fahari ya mwenyeji wako ni jambo la kawaida,ni kama kupitia yeye wanatangaza vivutio vya kitalii.Oman ni moja ya nchi yenye mila na desturi zenye kuheshiwa sana duniani,nimependa kuwa ameweza kuelezwa kuwa pia eneo hilo waislam hujifunza kuvumiliana kadili ya mafunzo ya imani,jambo zuri kenda kujifunza.lakini huku nyumbani kuna matatizo,watoto wanafarakana,wanauana,hawataki kufuata utaratibu ambao kama baba husimamia,we need him at home.udini alokuwa anauzungumzia kiwepesi ktk kampeni sasa umekuwa na unayataka mamlaka yake ili ujiendeshee nchi.kama anaweza aombe udhuru ili arudi nyumbani to restore amani,upendo na mshikamano wetu.
 
... interesting!
Mkuu Azimio, Huyu JK vipi? Hawezi kuiga utamaduni wa wenyeji wake? Wenzake wameva maternity na miyeboyebo miguuni yeye na ujumbe wake wanadunda na suti na fourconner shoe msikitini, angekuweko Shehe ponda huko JK na timu yake wangejuta.
 
Ninajiuliza hii ziara yake Kama ni ya kidini Hasa pale anapotembelea misikiti.
Sioni Kama Ziara hii ina manufaa yoyote kwa taifa zaidi ya kupoteza rasilimali za taifa.
 
Back
Top Bottom