Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,977
- 20,244
Kufuatia msiba ulio likumba taifa,yule bingwa wa safari duniani ndugu yetu kabisa JK imemubidi ageuke kutoka Nairobi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />So siku 3 za maombolezo alizotangaza watu hawataenda kazini????
<br />Kufuatia msiba ulio likumba taifa,yule bingwa wa safari duniani ndugu yetu kabisa JK imemubidi ageuke kutoka Nairobi!
Nimeamini kumbe we unafuata upepo? Kwa mtindo huo utashindwa kujifunza mengi mkuu!!Ameonesha moyo wa kujali na huruma kama kawaida yake. Sasa mbona magwanda wao wanaendelea na kampeni tu Igunga?
So siku 3 za maombolezo alizotangaza watu hawataenda kazini????
teh G bwanaHapo roho itakua inamuuma kichiz yan,maana alpanga aktoka nairobi anaunga addis ababa kabla ya kuibukia new york.
Moyo wa huruma na kujali asante, mbona magamba yamelaunch kampeni leo? Na wananuksi hao, siku ya fomu msiba, siku ya kulaunch msiba tena massivelyAmeonesha moyo wa kujali na huruma kama kawaida yake. Sasa mbona magwanda wao wanaendelea na kampeni tu Igunga?
<br /><br /><br />
<br /><br />
Nimeamini kumbe we unafuata upepo? Kwa mtindo huo utashindwa kujifunza mengi mkuu!!
mkuu kaona noma, manake wakati wa saka bungeni aliminya kimya , sasa hili angeminya akona ingekuwa sooo ile mbaya ndo maana kageuza. na inaoneka JF wammpa somao, manake kipindi cha sakata la bungeni watu wngu walisema hajali, na inasemekan alikuwa humu, kajifunzaKufuatia msiba ulio likumba taifa,yule bingwa wa safari duniani ndugu yetu kabisa JK imemubidi ageuke kutoka Nairobi!
acha unafki alirejea tangu jana jioni na ajali imetokea saa kumi usikuKufuatia msiba ulio likumba taifa,yule bingwa wa safari duniani ndugu yetu kabisa JK imemubidi ageuke kutoka Nairobi!
<br />Hapo roho itakua inamuuma kichiz yan,maana alpanga aktoka nairobi anaunga addis ababa kabla ya kuibukia new york.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Moyo wa huruma na kujali asante, mbona magamba yamelaunch kampeni leo? Na wananuksi hao, siku ya fomu msiba, siku ya kulaunch msiba tena massively
<br /><br /><br />
<br /><br />
Yaani wewe mi nakupenda Bure maana ma litle Tinkers kama hawa huwa hawaishi kuonyesha unafiki wao kuwa wanajali wakati siyo kweli.
Meli imezama huko Zanzibar.......ajali gani wapendwa?im sory,cjui nlikuwa xcul ndan ya get xo i dnt knw watc happening.....