<br />Kwa nini Mkapa ana nuksi?
<br />
Kawadhulumu wa Tanzania na Mungu atamlaani milele
<br />Kwa nini Mkapa ana nuksi?
<br /><br /><br />
<br /><br />
Ameonesha moyo wa kujali na huruma kama kawaida yake. Sasa mbona magwanda wao wanaendelea na kampeni tu Igunga?
<br />Duu!!!!!!!! Uvivu huo, unawa kulala wakati nchi inazama?
<br /><br /><br />
<br /><br />
Kawadhulumu wa Tanzania na Mungu atamlaani milele
<br />Tz nchi ya ajabu sana kuna meli moja hvi ipo kigoma inaitwa liemba ina miaka zaidi ya 120 befora WW1 na WW2 na bado inapiga ruote za kigoma to Zambia bila ya matengenezo na inajaza balaa..nyie subirini tu
<br /><br /><br />
<br /><br />
Hakuna kazi mkuu, bata kwa kwenda mbele tu
Kufuatia msiba ulio likumba taifa,yule bingwa wa safari duniani ndugu yetu kabisa JK imemubidi ageuke kutoka Nairobi!
<br /><br /><br />
<br /><br />
Ameonesha moyo wa kujali na huruma kama kawaida yake. Sasa mbona magwanda wao wanaendelea na kampeni tu Igunga?
Sasa wewe ulitaka waseme kuwa wanaomboleza kwahiyo kiti cha ubunge wapewe chadema? Mbona wanafiki wenu bado wako Igunga wanaendeleza kampeni?<br />
<br />
Moyo wa huruma na kujali asante, mbona magamba yamelaunch kampeni leo? Na wananuksi hao, siku ya fomu msiba, siku ya kulaunch msiba tena massively
<br />Hivi kwa nini watanzania tuna-risk maisha yetu kwa kutumia vyombo vya usafiri vyenye umri mkubwa kiasi hicho? Hivi hatuna sheria za kuzuia mikweche ya aina hiyo! Chombo kiliundwa kabla sijazaliwa na leo nina umri zaidi ya miaka 40 lakini bado kinaendelea kusafirisha roho za watu!
<br />Na Magamba wamezindua kampeni leo..
ajali gani wapendwa?im sory,cjui nlikuwa xcul ndan ya get xo i dnt knw watc happening.....
<br />Sasa wewe ulitaka waseme kuwa wanaomboleza kwahiyo kiti cha ubunge wapewe chadema? Mbona wanafiki wenu bado wako Igunga wanaendeleza kampeni?
Hajasema atakufundisha kasema utashindwa kujifunza.<br />
<br />
Wewe una kitu cha kunifundisha mimi?