calmdowndear
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 605
- 273
JK jk jk jk
Anakwendaje mahakamani wakati kapumzika baada ya kufanya kazi iliyotukuka?Sasa statement ya mkuu wa nchi kuwa pesa ni za IPTL inabidi aje mahakamni kuithibitisha
....Pale Kikwete aliposema kuwa anawapongeza hata kambi ya upinzania kwakupigania maslahi ya taifa japokua katika tume ile walikuwa ni wachache katika sakata la Escrow pia unapinga?
Kweli mkuu , nimeamini .kikwete ni ngumi jiwe
....Ha! Ha! Ha! Sasa Ngeleja badala ya kurudisha hela kwa mwenyewe Rugemalila eti anirudishia serikali ! Changa la macho ili ateuliwe waziri wa Nishati na Madini .
Poor ccm , Poor Ngeleja !