Sema baba sema. Akina Tumbili wazidi kuumbuka
mr.kikwete is always wisdomic.
kuna watu wanatia hasira sana! kuna muda nakaa nawaza niachane na kufatilia siasa za tz ila naona nafsi inanisuta kwani nitakua namsusia nani! ila kuna watu wanakera
Hivo kuna mtu alitegemea hotuba tofauti na hii?
Kweeeli?
Nasikitika sana Rais wa Nchi anapopotosha vitu ambavyo vipo wazi.Hii mahakama mkuu wake ni malkia na ndiye anatushangaa kumpa mtu fedha asiyestahili wakati hiyo kampuni ni ya royal family inasema hisa zao hawajamuuzia PAP?
Azimio la kwanza limepigwa chini......
Tibaijuka anatoswa rasmi