Amekwisha sema siyo Fedha za Umma ni mali ya IPTL..Tukutane 2015 tutaheshimiane watanzania wameona, wamesikia, wamejua sasa Wataamua
mkuu hakuna jipya hapo jk ndo muhusika mkuu ndo maana anawatetea watuhumiwa.Sospeter Muhongo alisema siku ile ya rpoti ya PAC kuwa TANESCO inadaiwa akashambuliwa sana. Nashawishika kusema Muhongo ni alikuwa sahihi kabisa.
bunge limepuuzwa vibaya sana !
Kama wazee wa Mkoa wa Dar unawaona hawaelewi kitu, je wazee wa mkoani kwako?Hao wazee wa mkoa wa Dsm hawaelewi kitu wanangaaa sharubu wala hawapigi makofi...daah Nam miss sana Mzee Mkapa na Uongozi wake daah
kikwete ni mlezi wa genge la mafiaToka lini wewe umekuwa na kadi ya ccm? Wewe unajulikana ni Mtutsi wa Rwanda
Sasa kwa nini Mwanasheria Mkuu wa serikali aliamua kuachia ngazi?
Kumbe alitoa ushauri mzuri tuu? Why resign then?
na kwa nini tanesco wafungue account ya Escrow bila kupeleka kesi mahakamani? Hapa tatizo ni nini wakati kwa kufanya hivo Tanesco lazima walipe riba ya 2% ambayo ni hasara ya zaidi ya 30m$... kwa nini watu wa tanesco wasichukuliwe hatua....Amekubali kuwa Tanesco ilishinda ICSID. Kwa nini Tanesco waliacha maamuzi ya ICSID ambayo yaliwapo ushindi 2001? Badala yake wakaenda kufungua ESCROW mwaka 2007? Hapa ndo rais amekosa flow na corelation ya anachokiongea.
Usilete maneno ya mkoloni mwingereza na vi-debit na vi-credit vyenu hizo hela si za Tanesco zingetafuta nini kwenye vitabu vya Tanesco wakati si zake.