Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,887
- 143,983
Raisi Kikwete,japokuwa umetuangusha sana watanzani na sidhani kama una jambo kubwa sana la kutuachia,nakushauri,kwakuwa umeona na umepitia machungu ya ugonjwa wa cancer ya tezi dume(prostate cancer), basi itakuwa vizuri na busara kama utaanzisha taasisi hiyo hapa nchini.
Jina la taasisi hiyo inaweza pia kuitwa Kikwete Cancer Foundation na inaweza kutiba magonjwa mengine ya cancer pia na kwa kufanya hivyo, naamini utakuwa umesaidia watanzania wengi na bila shaka utakuwa umetuachia kumbukumbu nzuri sana.
Mh.Rais, najua huwezi kosa wafadhili ukiwa na nia hiyo na hasa kwa kushirikiana na hospitali na madaktari waliokutibu na wafadhili wengine.
Ni ushauri tu.
Jina la taasisi hiyo inaweza pia kuitwa Kikwete Cancer Foundation na inaweza kutiba magonjwa mengine ya cancer pia na kwa kufanya hivyo, naamini utakuwa umesaidia watanzania wengi na bila shaka utakuwa umetuachia kumbukumbu nzuri sana.
Mh.Rais, najua huwezi kosa wafadhili ukiwa na nia hiyo na hasa kwa kushirikiana na hospitali na madaktari waliokutibu na wafadhili wengine.
Ni ushauri tu.