Juaangavu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2009
- 935
- 132
Tumuite Mungu akalipiganiye taifa lake na watu wake.
Haki uinua taifa.
Mungu wa majeshi kasimame imara kwa ajili ya haki ndani ya taifa hili ukiwakumbuka wagonjwa walolazwa chini; wanafunzi wasona mwalimu wala dawati; akina mama wanaojifungulia kwenye sakafu nk.
Jina lako likapate kuinuliwa kati ya watu wako. Amen
Haki uinua taifa.
Mungu wa majeshi kasimame imara kwa ajili ya haki ndani ya taifa hili ukiwakumbuka wagonjwa walolazwa chini; wanafunzi wasona mwalimu wala dawati; akina mama wanaojifungulia kwenye sakafu nk.
Jina lako likapate kuinuliwa kati ya watu wako. Amen