Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,463
- 39,930
Mnyonge Mnyongeni...........hapa Jk Anahitaji Pongezi.. Wise And Brave Decision. Isije Ikawa Tu Ndio Chanzo Cha Kumfunga Mdomo 'dogo',si Mnakumbumbuka Marmo?mzindakaya? Time Will Tell.
kanaKansungu, apongezwe kwa kufanya kazi kwa shinikizo? Kwa kukubali kuunda Kamati na kumuweka Zitto ndani ina maana amekubali siyo tu kuna matatizo bali matatizo makubwa. Kwanini basi Zitto alifungiwa na kwanini Karamagi alisema mjadala kuhusu kudurusu mikataba umekoma? Kuna mambo ya kupongeza hili ni la kushukuru tu kuwa angelifanya mwaka mmoja uliopita!