Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Nafuatilia matokeo hapa na naona EL ngome zake hazijatangazwa hivyo matumaini bado yapo.
ikitokea bahati mbaya pushapu zikaelekea magogoni basi kuna uwezekano Magu akaombwa wai-share kwa muda usiojulikana.
swali hapa kateua au hajateuaTaarifa hiyo ina mapungufu makubwa kama ifuatavyo:
1. Taasisi ya Elimu Tanzania inayofahamika ni TIE (Tanzania Institute of Education) ambayo inahusika na uendelezaji wa mitaala ya elimu kwa shule za sekondary na vyuo. tazama link http://www.tie.go.tz/
2. Kuna mamlaka ya Elimu Tanzania au TEA (Tanzania Education Authority). tazama link http://www.tea.or.tz
Kwa hiyo aliyeteuliwa ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Elimu (TEA) na si taasisi. Mwandishi ajifunze lugha ya kiswahili.