monica lewinsky
Naona akina mwanahamisi, mwanahawa, mwajuma, mwadawa, siajabu, sikujua......ndo wakati wao huu.
JK bana, haishi vihoja, Ukadiriaji majengo na huduma za jamii wapi na wapi? COWI (a private company) na mambo ya huduma za jamii (Government business) wapi na wapi? Au ndio anamsogeza karibu, isiwe anawasumbua usalama wa taifa-ccm, kumuescoti anapokuwa anatoka ikulu kwenda kupasha misuli....
lazima huyu mama/binti atakuwa MREMBO...LAZIMA!~
JK bana, haishi vihoja, Ukadiriaji majengo na huduma za jamii wapi na wapi? COWI (a private company) na mambo ya huduma za jamii (Government business) wapi na wapi? Au ndio anamsogeza karibu, isiwe anawasumbua usalama wa taifa-ccm, kumuescoti anapokuwa anatoka ikulu kwenda kupasha misuli....
Hii nayo ni kati ya kali za mwaka; kutoka mkadiriaji majengo msaidizi tena wa kampuni binafsi hadi msaidizi wa rais! Ndiyo mapigo ya JK hayo.
Enzi sisi tunasoma UDSM kulikuwa na kitu tulikuwa tunaita "MARKS za CHUPI", nina wasi wasi kwamba na mkuu huenda naye anatoa "VYEO VYA CHUPI".Hivi huyu Rais wetu atakua lini jamani-yaani msaidizi wa Rais from nowhere, then tulalamike kuvuja kwa siri za Ikulu? Na je ni Rais mwenyewe ndo anapendekeza na kuteua au ile "system" yetu kama zamani?
mkuu picha yake imo humu haujaiona???
Jamani tupunguzeni udini!
Wakristo nasi tunataka kuiga kulalamika na kunung'unika!?
Tuwaachieni wenye tabia hiyo waendelee!
Tusomesheni watoto wetu na kuwaandalia mazingira ya kujitegemea kwa kujiajiri ama kuajiriwa.
Kweli ujinga ni sawa na ukimwi, ukiupata ujue maisha yako kwishney! House girl katoka wapi kwenye mada hii?
Wajameni hii position ni mpya!! tanzania taaamu sana aisee
Mmmmmmmm hapa panajambo, kweli JK haishi vituko, kila jukicha lazima asemwe kwa vituko vyake. Huyu lazima anamsaidia mama. Haya QS kazi kwako.