Kikwete ana marafiki wawili sasa - Bush na Brown.
Kazi nzuri sana baba Kikwete, tengeneza maisha ya watanzania na wapinzani wao walie tu na wivu wao uliokubuhu.
kwa taarifa yenu sasa hivi ni wakati muhimu sana wa kumsapoti JK pamoja na udhaifu wake. CCM ya mafisadi wanamkalia kooni vibaya mno. Na sisi JF tukimkalia kooni hatakuwa na sapoti popote bali ni kuanguka kisiasa na nchi kurudi kwenye kundi la majambazi (akina mkapa). Tutakuwa JF tumepata nini hapo? Tafakari