NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,331
- 47,068
Nashangaa toka zianze nyuzi za Kempinski mpaka leo hakuna aliyeanza kuroga kuwa hizo ni ya Mwaarabu tena Muislaam. Vipi tofauti yake huyu na Dowans na OBC?Inashangaza! au anatuweka deka? Zinakaangwa mbuyu kuwaacha wenye meno watafune?
samahani sijakupata hata kidogo, unamaanisha nini bibie?