Rais Kikwete Aenda Japan!!

Jamani naona tunamsakama sana mkuu wetu....namtetea kwa hili...kwa kiasi fulani lakini....majukumu ya kuongoza taifa huru ni mengi, huwa anahitajika sehemu nyingi. ukijumlisha na kuwa ni kiongozi wa bara letu la Afrika katika awamu hii, basi mambo ndo juu ya mambo. Ni kweli angeweza kuunganisha safari yake ya mwisho ya Japan na hii maana aliijua safari hii wakati anaenda ile, but anyway safari zote mbili zilikuwa na maana, ingawa wakuu wa itifaki wanahitaji shule zaidi, mwacheni aende....

Kuhusu Mama ziara, jamani ndio mai waifu wake, anahitajika kuwa bega kwa bega na muheshimiwa, lakini yeye anafanya la maana kwa kumuwakilisha mkuu locally. Ni bora ya ziara azifanyazo na hata za kwenda kufungua mashindano ya shule za sekondari kuliko ya kuwa angekaa tu ikulu au kuwa bize na biashara kama tulivyoona hapo awali....
Ni maoni yangu tu lakini...
 
Jamani naona tunamsakama sana mkuu wetu....namtetea kwa hili...kwa kiasi fulani lakini....majukumu ya kuongoza taifa huru ni mengi, huwa anahitajika sehemu nyingi. ukijumlisha na kuwa ni kiongozi wa bara letu la Afrika katika awamu hii, basi mambo ndo juu ya mambo. Ni kweli angeweza kuunganisha safari yake ya mwisho ya Japan na hii maana aliijua safari hii wakati anaenda ile, but anyway safari zote mbili zilikuwa na maana, ingawa wakuu wa itifaki wanahitaji shule zaidi, mwacheni aende....

Kuhusu Mama ziara, jamani ndio mai waifu wake, anahitajika kuwa bega kwa bega na muheshimiwa, lakini yeye anafanya la maana kwa kumuwakilisha mkuu locally. Ni bora ya ziara azifanyazo na hata za kwenda kufungua mashindano ya shule za sekondari kuliko ya kuwa angekaa tu ikulu au kuwa bize na biashara kama tulivyoona hapo awali....
Ni maoni yangu tu lakini...

Mkuu tangu lini umekuwa mtetezi wa MAFISADI? Haya twambie kwa kina sababu nzuri za hiyo safari ........................
 
Mtamjua mkwere, ameamua aizunguke dunia nzima. Bado Iceland na weekend in Hawaii. Wakati mama wa kwanza anapiga penalt kwenye mechi za ufunguzi wa sekondari huko vijijini.

1985-1995 mama sitti alikuwa anagawa tausi na kwenda zake umangani kunywa chai na kashata. Wakati mzee ruksa alikuwa hana muda wa kuzurura, yeye alikuwa anakula salon yake kisha anatazama mawimbi ya bahari.

1995-2005, hapa ndio palikuwa patamu. Kipindi cha kwanza mama mkapa alikuwa anasign 10% or more kwenye kila project. Wakati Ben aka Big brother aka mzee wa kiwira alikuwa ananepa kwa kula mbuzi na bia huku akianzisha biashara kwa address ya ikulu. Na kwenda kwenye mikutano ya UN na kuwaongopea Watanzania kwamba ametunukiwa kuzungumza kwenye mikutano hiyo.

2005-2008, here we come. Vasco Da Gamma akaingia na mission yake ya Zindua Dunia, this time akiwa na private jet akaanza nchi hadi nchi. 2008 viongozi wa Africa wakaona kuna umuhimu wa kupunguza cost kwa nini tusimpe vasco da gamma chance kwani kila akizunguka dunia apate kuwakilisha miswada yetu ya Darfur na njaa

Wakati huo huo mama wa kwanza yeye akaona wakati mzee Vasco da gama anavumbua dunia wacha mimi nikavumbue Katanzania kwanza. Uzuri wa mama Jk hana gharama yeye anataka VX tatu tuu, kwanza mji had mji, anakagua mradi wa asali mpaka wa mawese. I like huyu mama wa kwanza.
 
Jamani naona tunamsakama sana mkuu wetu....namtetea kwa hili...kwa kiasi fulani lakini....majukumu ya kuongoza taifa huru ni mengi, huwa anahitajika sehemu nyingi. ukijumlisha na kuwa ni kiongozi wa bara letu la Afrika katika awamu hii, basi mambo ndo juu ya mambo. Ni kweli angeweza kuunganisha safari yake ya mwisho ya Japan na hii maana aliijua safari hii wakati anaenda ile, but anyway safari zote mbili zilikuwa na maana, ingawa wakuu wa itifaki wanahitaji shule zaidi, mwacheni aende....

Kuhusu Mama ziara, jamani ndio mai waifu wake, anahitajika kuwa bega kwa bega na muheshimiwa, lakini yeye anafanya la maana kwa kumuwakilisha mkuu locally. Ni bora ya ziara azifanyazo na hata za kwenda kufungua mashindano ya shule za sekondari kuliko ya kuwa angekaa tu ikulu au kuwa bize na biashara kama tulivyoona hapo awali....
Ni maoni yangu tu lakini...

Ni kweli wengi wanamsakama Rais,sijui wanataka asifanye ziara?Sasa akikaa home tu nani atamtambua? Kwa sasa Kikwete ndiye Tanzania yenyewe na atitude ya nchi inatakiwa uwe na maingiliano na mataifa mengine.

Bila taswira ya maingiliano baina ya watu na nchi mbalimbali kunakuwa hakuna ile hali ya kuwa na fikraza kimaendeleo na unakuwa comfined na eneo moja.Ili nchi isonge mbele lazima ipate nchi marafiki na Rais anapozuru huko ni heshima kwa Watanzania.

Ukiachia mbali heshima, Watanzania wanaoishi katika nchi za nje nao wanajiona kuwa wapo hapa duniani na ramani ya nchi inatafutwa na kujulikana.Rais wao anaonekana akiwawakilisha katika maeneo ya nchi nyingi.

Pia katika mazungumzo yao Tanzania inaweza kupata misaada ili kuinua hali za maisha ya wananchi wake au Watanzania wanaweza wakijikuta wanafanya biashara na nchi nyingi kwa sababu ya ziara za Rais wao.

Kumkandia Rais wa nchi kwa ziara za maana si jambo zuri hata kama humpendi kwa sababu katika mahusiano yanayojengeka kimataifa Watanzania wengi wanahamia nchi za nje na kufanya kazi huko na kufaidika.

Wanapokuwa huko majuu wanakuwa na wao kama mabalozi wa nchi yao na kwa hiyo kuongeza udugu na maelewano kati ya Tanzania na nchi wanazoishi.

Zig zag ya mara anakimbia kitu...hapa nyumbani au anakwepa matatizo ya balali ...ni mambo ya kufikirika tu,kwa sababu Rais haendi kule kukaa,si anarudi jamani?
 
So far JK ana kipaji!
Amegundua njia rahisi ya kutufanya tusahau mambo muhimu ni yeye kuhakikisha diary yake iko full booked!!
Akihutubia end of month anaongelea masuala ya Zimbabwe, South Africa na Comoro!! Ishu zinazohusiana na nchi yake sio priority at the moment... after all he is experienced in Foreign affairs, anajenga CV!
 
hapo mwanzo mbona, akitoka japan anatua a-town kwa sulivan......july ikifika anarudi tena japan kwa ajili ya mkutano wa G8.

kama mtu anataka kumbana, ni katika mwezi wa june tu kama atakuwa 'hajapangiwa' safari nyengine
 
Kati ya marais waliovunja record za trip toka tupate UHURU JK anaongoza naombeni takwimu jamani karuka mala ngapi hivi???
 
Naona kuna mtu ana kia na Mh. Membe humu. GT, unaweza kutuambia tatizo lako na Mh. Membe ni nini? Labda tunaweza kukusaidia. Kama ni kazi Wizara ya Mambo ya Nje, Mh. Membe sio mwajiri, hivyo nakushauri uombe tena pale nafasi zitakapotoka
 
Fidel80,
Kama huna takwimu ya safari za Rais kwanini ukurupuke kulaumu? Pata uhakika wa takwimu kwanza, jenga hoja, halafu irushe JF watu waichambue.
 
Ndg zangu wana JF,

Hivi tunaposema kuwa Rais Kikwete anasafiri sana tunamlinganisha na Rais gani asiyesafiri sana?
 
Mkuu hatuwezi kusubiri wakati taifa linazidi kwenda njia panda na safari zisizokuwa na faida kwa taifa letu, na zisizokwisha hivi Nyerere si alikuwa rais kama muungwana? au alikuwa sio?
 
JK angesubiri kwanza mpaka hili swala la balali litilie maana watu bado hawajapata taharifa rasmi ya serikali yeye anaanza ziara za nje.
 
Southern African Leaders In Tokyo Expected To Hold Sidebar On Zimbabwe
VOA

Blessing Zulu said:

Washington
26 May 2008

Southern African Development Community heads of state attending a
development conference in Tokyo on Tuesday are expected to gather on the
margins to consider a request by Zimbabwean opposition leader Morgan
Tsvangirai that they deploy election observers in the country late this
month rather than in mid-June.

Tsvangirai will face President Robert Mugabe in a presidential run-off
election that has been marred by political violence following the March 29
first-round ballot. Tsvangirai claimed an official 47.9% share of the first-round vote vs. Mr. Mugabe's 43.2%. SADC's current chairman, Zambian President Levy Mwanawasa, was expected to put Tsvangirai's request before his regional peers at the Tokyo summit.

Sources said that in the run-up to the summit, South African President Thabo
Mbeki, SADC’s mediator in Zimbabwe, dispatched his chief delegate for
mediation, Sydney Mufamadi, to Harare for discussions with President Mugabe. Senior officials in Mr. Mugabe’s office confirmed the president met with Mufamadi on Monday, but declined to disclose further details. Spokesman Ronnie Mamoepa of the South African Department of Foreign Affairs confirmed Mr. Mbeki would be in Tokyo, but said he has no information indicating Zimbabwe will be on the agenda.

SADC sources told VOA that regional monitors are not likely to be deployed
until mid-June, saying the organization's resources have been drained by the
extended crisis and that the upcoming election in Angola must also receive
its attention. Political analyst Peter Kagwanja, director of democracy and governance research at South Africa’s Human Sciences Research Council told reporter Blessing Zulu of VOA's Studio 7 for Zimbabwe that sending peacekeepers might exceed SADC's means.

National Constitutional Assembly Director Earnest Mudzengi said statements
by ZANU-PF officials close to Mr. Mugabe that he will accept the outcome of
the runoff if he is defeated cannot be believed, and are intended to mollify
SADC leaders. Mudzengi said such statements by Rural Housing Minister Emmerson Mnangagwa, a key Mugabe strategist, are not matched by developments on the ground as ZANU-PF continues to unleash terror on opposition activists and rural supporters.
 
Mkuu tangu lini umekuwa mtetezi wa MAFISADI? Haya twambie kwa kina sababu nzuri za hiyo safari ........................
La...hapana sio mtetezi wa mafisadi kabisaa.....bali nililiangalia katika mtazamo tofauti ndio maana nikaonelea niseme vile. Politics ya kwetu sio kutetea maslahi ya wananchi hilo kila mtu analijua, ila tu ndio keshafika na kuwa mkuu wa nchi, hivyo nilazima awe anafanya ziara kama hizo...mara ya mwisho kutazama, Tanzania tunajulikana kama nchi huru, hivyo kiongozi wake yuko huru kuzuru nchi yoyote ile, hivyo kwenda kutembelea nchi nyingine sio jambo geni kabisaaa, nina imani huwa unawatembelea majirani na marafiki zako, same as JK, ila tu kama utakumbuka nilisema kuwa itifaki ndio ilikuwa mbovu, within a year kiongozi kwenda nchi moja zaidi ya mara moja, sidhani kama ilikuwa wise. Angeweza kwenda this time akaunganisha na mambo ambayo alitaka kufanya wakati ule.
Sio fisadi mtetezi...
 
Mkuu hatuwezi kusubiri wakati taifa linazidi kwenda njia panda na safari zisizokuwa na faida kwa taifa letu, na zisizokwisha hivi Nyerere si alikuwa rais kama muungwana? au alikuwa sio?
Naomba ukumbuke tu katika karne ya mzee kifimbo, kulikuwa na lile bifu la vita baridi...Ukisafiri mashariki, utajenga uhasama na magharibi, ukisafiri magharibi mashariki wataleta noma, sasa yeye akaamua kunyuti tu maskani.
Unakumbuka lakini ile ya miezi mitatu China?? Ali rent kabisa kule....That was awesome
 
ahh JK,

jamani huyu alikuwa foreign affairs,that wa the best he could be,wakujilaumu ni sisi wenyewe tu,mwenzetu haya mambo ya ufiasdi mara balali kafa kwa nini yamsumbue kichwa?wacha aende akapulizwe upepo wa kijapani kwanza apunguze pressure...by the way baada ya Sullivan Summit safari wapi tena?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom