Lee Cho in
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 941
- 693
Roho mbaya wa chama fulani bado anaendelea kumeng'enya ubongo wa wafuasi wake. Huwezi kuwa unapinga kila kitu hata kilicho na manufaa.
Kama ameona kuna tatizo sasa hivi linahitaji kuanza kufanyiwa ufumbuzi aache kutoa maamuzi kisa anakaribia mwisho wa madaraka?
Tatizo mnataka matamko yenye manufaa kwa wananchi yatoke kwa viongozi wa upande wenu tuu. Yakitoka upande mwingine tofauti na ninyi mnapinga.
Asante kaka afu mi cwapend watu wenye akil finyu km hawa wanaoegamia vyama vyao.