Rais Kikwete aagiza flyovers zijengwe Dar haraka sana

Anyilise,

Nashukuru kwa mafundisho yako ya Sandeskuli yaliyokufundisha kuwa wewe ni bora kuliko wengine!
 
Ni lini Ukrsto na Kristo alifundisha kudharau wale ambao si Waamini? Je hukuona Anyisile badala ya kuhoji utendaji kazi wa Kikwete yeye kahusisha Udhaifu wa Kikwete na Dini yake?
sasa kama kahusishwa kikwete na dini yake? we umepita mlango gani na kuanza kumtetea? au una kihoro, kihere, kisongombwingo?
 
Tiba, mawazo mazuri. Nadhani pia ingesaidia kama jiji lingeweka congestion charge kwa magari madogo kuingia sehemu fulani za mji kiasi kwamba yale magari ya ulazima tu ndio yaruhusiwe e.g utility vans, taxis. Congestion charge iwe juu kidogo.

Pia misafara ya mawaziri isisimamishe magari mengine, kwani wao nani?

Mkuu, pamoja na nia yako nzuri ya kupunguza foleni, hili wazo mi linanitia hofu. Sababu, kitakachotokea ni;
1. Wazo la congestion charges kupigiwa kampeni kwa nguvu na "wadau".
2. Wazo hilo kukubalika, na watanzania kuaminishwa ndio itakua solution ya foleni.
3. Kampuni ya Ngombale Mwiru kupewa tender ya kucollect congestion charges bila ya kushindanishwa na kampuni ingine. Huku mwenyewe akisema si kampuni yake bali ni ya mama na kijana wake.
4. Kampuni ya Ngombale kuanza kukusanya congestion charges na kupeleka only 30% ya makusanyo jiji.
5. Hali ya foleni ya jiji la Dar kubaki pale pale au hali kuzidi kuwa mbaya kwa kisingizio cha "magari mapya yanayosajiliwa yameongezeka sana".
 
sina uhakika na uelewa wako ni wa kiwango gani maana naona unaleta mashitaka jambo la mhimu weye kama umeguswa na hoja polisi si wapo? lakini sababu ya kuanza kulumbana hapa hoja ni maagizo rais mwenye ilimu ya madrasa maana hata wa kuwadanganya hawaoni kutokana kuwa na upeo wake kuwa mdogo, harafu tambua kuwa kuna tofauti kubwa sande skuli na madrasa
Sandeskuli = unafundishwa na kuulizwa maswali juu ya kile ulichofundishwa
hatukaririshwi kwa lengo kuhifanyi juzuu nna ayaze, tunafundi
shwa ili uelewe kama hujaelewa unauliza maswali
Madrasa = unakaririshwa na hakuna kuuliza maswali fuata vile
unavyo karirishwa na maana unatakiwa kumuanzisha mtoto
asiyejua kusoma wala kuandika, kwa sababu sedhemu kubwa ya
ilimu ni kukariri

Marehemu Mzee Karume hakusoma Sunday Skul na alikuwa baharia tu lakini alijenga ma-flat ya michezani, kuna wazee wengi tu wakizaramo ambao walikuwa ni matarishi tu lakini wamefanya mambo mengi mazuri na ukichukulia elimu yao itakuwa wengi ni hiyo ya Madrasa, hata leo hii nenda magomeni, mwananyamala utakutana na wazee wengi tu na busara zao, bila ya kuwa na hiyo ilimu ya secondary nk.
 
Anyilise,

Nashukuru kwa mafundisho yako ya Sandeskuli yaliyokufundisha kuwa wewe ni bora kuliko wengine!
asante, yamenifundisha kujitenga na wapumbavu na kuwasogelea wajinga, usinibebeshe lawama na kunitwisha dhambi bure, mi sijadharau mtu, ila kama wewe unaona wenzio wanaomboleza harafu we unapeleka vituko lazima tuwe na mashaka nawe, sasa kikwete hajamaliza hata moja, watanzania kila siku afadhari ya jana huduma za hospital duni elimu ndo usiseme, harafu alete habari za kifirauni na uongozi wa nchi ya kusadikika lazima tuhoji uelewa wake eboooo!!! kwani ye nani chini ya jua....
 
And the Lord declared "let there be flyover all over Dar Es Salaam like the ones in New York" and people bow down to the mighty voice and made it happen!
Well said Rev. JK anafikiri kazi ya uraisi ni kutoa tu matamko halafu mambo yanatimia. Jamaa ni msanii kweli kweli. Ina maana tatizo ndio ameliona leo baada ya miaka 4 akiwa raisi na miaka mingine kadhaa akiwa waziri wa wizara mbalimbali? Kwanza hivi hiyo pesa ya ujenzi inatoka kwenye bajeti ipi maana bajeti ishapitishwa mwaka jana bila hiyo miradi yake?
 
Well said Rev. JK anafikiri kazi ya uraisi ni kutoa tu matamko halafu mambo yanatimia. Jamaa ni msanii kweli kweli. Ina maana tatizo ndio ameliona leo baada ya miaka 4 akiwa raisi na miaka mingine kadhaa akiwa waziri wa wizara mbalimbali? Kwanza hivi hiyo pesa ya ujenzi inatoka kwenye bajeti ipi maana bajeti ishapitishwa mwaka jana bila hiyo miradi yake?
usanii tu hapa ..sisi si tunaamini kila kitu anachoongea.hapa anajaribu kutoka kwa single nyingine yaani hii sasa ni kama hadithi za alfu lela u lela.Watu wanajua kabisa kuwa haizekani but hawachukui any reaction zaidi ya kulalamika.i dont know when the change will come
 
sasa mkuu unnashauri tuje na solution gani??
kutumia jicho la tatu kufanya maamuzi na kusikiliza kauli tamu mwanzoni na zenye uchungu mwishoni, viongozi kama hao hawana mnaana hata kidogo, kila mwisho wa mwezi huongea na watu dar es salaama kupitia redio na televisheni harafu hakuna siku akaongelea amekwama kutimiza baadhi ya ahadi na amejipanga ili kuhakikisha anatiza hata 1/4
 
usanii tu hapa ..sisi si tunaamini kila kitu anachoongea.hapa anajaribu kutoka kwa single nyingine yaani hii sasa ni kama hadithi za alfu lela u lela.Watu wanajua kabisa kuwa haizekani but hawachukui any reaction zaidi ya kulalamika.i dont know when the change will come
untill the man will be equal on the eyes of the Lord
 
Marehemu Mzee Karume hakusoma Sunday Skul na alikuwa baharia tu lakini alijenga ma-flat ya michezani, kuna wazee wengi tu wakizaramo ambao walikuwa ni matarishi tu lakini wamefanya mambo mengi mazuri na ukichukulia elimu yao itakuwa wengi ni hiyo ya Madrasa, hata leo hii nenda magomeni, mwananyamala utakutana na wazee wengi tu na busara zao, bila ya kuwa na hiyo ilimu ya secondary nk.
hatuwezi alikuwa anapewa elimu katika meri, na kwa kigezo hicho alikuwa ufisadi wa uongozi wa kukaa madarakani, au hujui kuwa ukipita sehemu yenye mbwa mkali we pita mifupa mfukoni, akinza kubweka we mrushie mfupa tu utapita kwa usalama mwisho atakuzoea
 
Labda wasaidizi wamueleze mheshimiwa rais kuwa FLYOVERS/OVERPASS or UNDERPASS kazi yake ni ku-EASE CONGESTION IN A BUSY JUNCTION,ambayo ni moja ya sababu za foleni dar, lakini kuna sababu nyingine nyingi tu ambazo solution yake sio flyovers.
Flyovers zinaweza kusaidia sana sehemu kama junction btn KAWAWA ROAD NA MOROGORO RD, junction btn MOROGORO RD/UN RD/MSIMBAZI ST
 
ndiyo tatizo la kuwa na rais mwenye ya ilim ya madrasa tu bila elimu dunia akilini,
anakuwa anaishi ka pepo mchafu tu, hana tofauti na jini, kwa kuwa pepo huwa halina kumbu kumbu, sasa ameshahau kuwa ailiyo ahidi hayajakamilika hata kwa 1/4 ya yote. kazi kwenda USA tu kupiga picha na wana muziki wa Boyz II Men na kuoa tubinti tudogo tudogo tw kipemba huu ni uhuni, Nawaasa Watanzania wenzangu ya kwamba kujikomboa kwetu ni kuwa na uwezo mkubwa wa kusoma alama za nyakati, hapo hakuna uhalisia ni kufungua kinywa cha kampeni mpya

Unajua madrasa wewe? kikwete kasomeshwa kanisani kwenu huko

Ni chaguo la Mungu as per Askofu kilaini (katoliki) sasa wewe na askofu nani mwenye kujua ukristo?

Acha upupu wako, inabidi ufahamu madrasa na naomba uheshimu source of our religious foundation, zilikuwepo kabla ya JK OK, zitakuwepo hadi mwisho wa dunia hata kama hutaki you idot!
 
Labda wasaidizi wamueleze mheshimiwa rais kuwa FLYOVERS/OVERPASS or UNDERPASS kazi yake ni ku-EASE CONGESTION IN A BUSY JUNCTION,ambayo ni moja ya sababu za foleni dar, lakini kuna sababu nyingine nyingi tu ambazo solution yake sio flyovers.
Flyovers zinaweza kusaidia sana sehemu kama junction btn KAWAWA ROAD NA MOROGORO RD, junction btn MOROGORO RD/UN RD/MSIMBAZI ST
jinsi baba alivyo, na watoto wake wako vivyo hivyo, hakuna mwenye akili hiyo hata mmoja, wasaidizi wake wenyewe wezi watupu
 
Unajua madrasa wewe? kikwete kasomeshwa kanisani kwenu huko

Ni chaguo la Mungu as per Askofu kilaini (katoliki) sasa wewe na askofu nani mwenye kujua ukristo?

Acha upupu wako, inabidi ufahamu madrasa na naomba uheshimu source of our religious foundation
, zilikuwepo kabla ya JK OK, zitakuwepo hadi mwisho wa dunia hata kama hutaki you idot!

- This is too low kwa any Great thinker! Mambo ya madini zenu pelekeni huko hapa ni uwanja wa siasa!

Es!
 
JK inabidi turikodi vyote ulivyoamrisha kuwa wafanye?

a) Umeme wa uhakika bado mpaka leo japo ulisema tatizo hili litaisha...

b) Nakumbuka uliagiza bandari msongamano uishe ..uzoefu wangu binafsi wa kutoa mizigo yangu naona foleni inazidi kila siku mbona hawafuati amri zako?

c) TRA bado kuna foleni japo tunataka kulipa kodi...halali inabidi uwonge vijana wakusaidie kulipa kwa kukaa foleni siku nzima?

Sina uhakika kama amri na maigizo yako yanatekelezwa usifurahishe baraza tafadhali?
 
Unajua madrasa wewe? kikwete kasomeshwa kanisani kwenu huko

Ni chaguo la Mungu as per Askofu kilaini (katoliki) sasa wewe na askofu nani mwenye kujua ukristo?

Acha upupu wako, inabidi ufahamu madrasa na naomba uheshimu source of our religious foundation, zilikuwepo kabla ya JK OK, zitakuwepo hadi mwisho wa dunia hata kama hutaki you idot!
acha ujinga weye, kwani kuwa askofu ndiyo kujua ukristo? unadhani ukristo ni tabia eee? hakuna mtu akawa mkristo akawa mshenzi wa tabia, ukristo ni utakaso wa moyo na roho yako kutotenda dhambi, kwanza fahamu ya kuwa, kuwa askofu, padre, mchungaji au nani hiyo siyo nguzo ya ukristo.... we vipi padre ni mtu kama wewe naye aweza tenda dhambi kama mwanadamu wa kawaida, mtu MWOVU HAWI MKRISTO wala mtu MKRISTO HAWI MWOVU tofautisha hapo, kuna kuwa Mkristo, na kujiita mkristo,
 
JK inabidi turikodi vyote ulivyoamrisha kuwa wafanye?

a) Umeme wa uhakika bado mpaka leo japo ulisema tatizo hili litaisha...

b) Nakumbuka uliagiza bandari msongamano uishe ..uzoefu wangu binafsi wa kutoa mizigo yangu naona foleni inazidi kila siku mbona hawafuati amri zako?

c) TRA bado kuna foleni japo tunataka kulipa kodi...halali inabidi uwonge vijana wakusaidie kulipa kwa kukaa foleni siku nzima?

Sina uhakika kama amri na maigizo yako yanatekelezwa usifurahishe baraza tafadhali?
kwa calculation ya haraka haraka ni kuwa JK hawezi au hana uwezo wa jutimiza ahadi zake ambazo anazitoa au hata kama ana uwezo ila maamuzi yake ya kuteuua viongozi wasio viongozi yanasababisha ahadi zake zisitekelezeke hadi amalize kipindi chake
 
Back
Top Bottom