real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Rais Uhuru Kenyatta amesema maandamao waliyopanga kufanya wapinzani leo kushinikiza kuondoka kwa mkurugenzi mkuu wa IEBIC ni haki yao kikatiba, ila wakiharibu mali za watu na kusimamisha watu wanaofanya kazi watajua kuwa kuna serikali
Naye Mkamu wa Rais William Ruto, tume ya uchaguzi haina tatizo, na mahakama ilikuta maafisa wake hawana tatizo ila upinzani wanataka kufanya maandamano kwa sababu wanajua hawana uwezo wa kushinda
Chanzo: Citizen Tv
Naye Mkamu wa Rais William Ruto, tume ya uchaguzi haina tatizo, na mahakama ilikuta maafisa wake hawana tatizo ila upinzani wanataka kufanya maandamano kwa sababu wanajua hawana uwezo wa kushinda
Chanzo: Citizen Tv