Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete amewaongezea muda wa kustaafu wakuu wote wa Majeshi na ulinzi ikiwa ni pamoja na Jwzt bwna Mwambyange, Mwema, Nzoka.
Watajwa hao inadaiwa wote walikuwa wastaafu mwaka huu na Jk akiwa bado hajamaliza muda wake pia inadaiwa ni katika kujipanga na uchaguzi wa 2015
Watajwa hao inadaiwa wote walikuwa wastaafu mwaka huu na Jk akiwa bado hajamaliza muda wake pia inadaiwa ni katika kujipanga na uchaguzi wa 2015