Rais kawaongezea miaka miwili wakuu wote wa ulinzi (JWTZ,TISS, POLISI)

Binafsi naona poa tu, kwani kipindi kilichobaki kuweka watu wapya ni changamoto sana!
 
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete amewaongezea muda wa kustaafu wakuu wote wa Majeshi na ulinzi ikiwa ni pamoja na Jwzt bwna Mwambyange, Mwema, Nzoka.

Watajwa hao inadaiwa wote walikuwa wastaafu mwaka huu na Jk akiwa bado hajamaliza muda wake pia inadaiwa ni katika kujipanga na uchaguzi wa 2015

Its Ok ila navojua mimi WATASTAAFU tu! na watambue kuwa huo siyo upendeleo ni haki yao kisheria na watekeleze majukumu yao kwa weledi wa hali ya juu kwani wanaelekea kwenye kipindi kigumu zaidi cha utendaji wao wa kazi zaidi ya wakati mwingine wowote na matendo yao ya leo ndiyo yatakayotafsiri Kesho yao all the best!
 
Mi nadhani ni busara kuwaongezea muda kuliko kuwaacha kustaafu; WHY? Hizo nafasi zote ni nafasi nyeti to the point kwamba kila kiongozi ambae anaingia madarakani angependa kumweka mtu anayemuamini! Hii maana yake ni nini; Mwema leo akitoka madarakani, akaingia IGP mwingine, kutakuwa na uwezekano mdogo kwa huyo IGP kuendelea kutumikia nafasi yake baada ya 2015. Sasa akija Rais mwingine na kumteua IGP anayemuamini yeye, ina maana yule aliyemkuta itabidi astaafu. Within Two Years wanastaafu ma-IGP wawili na kuwalipa fedha kibao....and you do the same kwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Mkuu wa Majeshi, n.k....ni very expensive kuwatoa kuliko kuendelea kuwa nao!!! Haya mambo ukiyaangalia haraka haraka unaweza kutoona umaana wake!!


Mkuu wachangiaji wengi wanaongea tu bila kujua athar za kiusalama.
 
Anayepaswa kupandishwa ICC ni mbowe na genge lake la wabaka demokrasia

Compare and contrast, then ukishamaliza uje hapa useme nani wa kwenda ICC:

1. Wezi wa kura
2. Walipuaji wa mikutano ya siasa
3. Watoa kucha bila ganzi
4. Wauaji wa Mwangosi
5. .......the list continues....
 
Compare and contrast, then ukishamaliza uje hapa useme nani wa kwenda ICC:

1. Wezi wa kura
2. Walipuaji wa mikutano ya siasa
3. Watoa kucha bila ganzi
4. Wauaji wa Mwangosi
5. .......the list continues....

6. Wauwaji wa Chacha Wangwe ambao ni Mbowe na Slaa.
7. Wabadhirifu wa fedha za chama cha wachaga CDM.
 
Mi nadhani ni busara kuwaongezea muda kuliko kuwaacha kustaafu; WHY? Hizo nafasi zote ni nafasi nyeti to the point kwamba kila kiongozi ambae anaingia madarakani angependa kumweka mtu anayemuamini! Hii maana yake ni nini; Mwema leo akitoka madarakani, akaingia IGP mwingine, kutakuwa na uwezekano mdogo kwa huyo IGP kuendelea kutumikia nafasi yake baada ya 2015. Sasa akija Rais mwingine na kumteua IGP anayemuamini yeye, ina maana yule aliyemkuta itabidi astaafu. Within Two Years wanastaafu ma-IGP wawili na kuwalipa fedha kibao....and you do the same kwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Mkuu wa Majeshi, n.k....ni very expensive kuwatoa kuliko kuendelea kuwa nao!!! Haya mambo ukiyaangalia haraka haraka unaweza kutoona umaana wake!!

Uko sawa kabisa, na ukizingata kuwa 2014 ni mwaka wa mikiki mikiki kuelekea 2015, ni vizuri zaidi hizi nafasi nyeti kuendlea kushikiliwa na viongozi wenyeji walizizoea ili kuja kuweza kukabiliana na miaka hiyo miwili iliyobaki, just in case of anything. Actually mimi ningependa awaache watastaafu kweye uongozi mpya utakaoingia baada ya uchaguzi wa 2015.
 
T2015CCM bila kumtaja Mbowe na CDM huwezi kulipwa buku saba
Lumumba??
Bila shaka hulali kila dakika unastuka, ukimtaja Mbowe
unatulia, pole sana, bado kidogo utakimbia nchi!!
 
Wamemsaidia xana kuua wa2, (wapigwe 2 pia anaogopa wakiondoka wanaomlinda atafia jela
 
Kikwete kwanini alitumia mabilioni ya pesa 2005 kutoa hongo na kumchafua SAS ili aweze kuwa mgombea wa MACCM? Au hiyo ndio demokrasia ya chama chenu cha wauza unga, majangili, mafisadi na magaidi!?

Ivi kwa nini mbowe hataki uchaguzi wa demokrasia? Anaogopa nini hasa
 
Hili ni janga jingine limetufika watanzania,kwa kweli aarrrgghhh!kichefuchefu.
 
Back
Top Bottom