"nitajitahidi kwa kadiri ya uwezo wangu kutimiza wajibu wangu kwa mwenyezi mungu na taifa langu, kuwahudumia watu siku zote na mahali popote na kuzitii kanuni za skauti". Hii ni ahadi/ kiapo cha maskauti duniani. Laiti jk angepitia japo skauti angejitahidi kuwa mzalendo.
Yuko radhi awape ulaji hata kama wako hoi kitandani,sio siri huyu best yake bado ni mgonjwa na alipaswa apumzike sema ni kaupepo tu.....
View attachment 54499
Hii inadhihirisha jinsi gani rais wetu hawezi kuwatupa mabest wake wa enzi hizo hata kama watakua wagonjwa kiasi gani,hapa enzi hizo za ujana wao
"Nitajitahidi kwa kadiri ya uwezo wangu kutimiza wajibu wangu kwa Mwenyezi Mungu na Taifa langu, kuwahudumia watu siku zote na mahali popote na kuzitii kanuni za skauti". Hii ni ahadi/ kiapo cha maskauti duniani. Laiti JK angepitia japo skauti angejitahidi kuwa mzalendo.