Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,987
- 144,319
Huyu dada kila siku mnamponda kwa kumkosoa Mkulu lakini ushauri alioutoa leo kwa Mkulu nahakika hakuna mwana-CCM hata mmoja aliewahi kuutoa.
Kwakweli yote aliyoshauri ni mambo ya msingi sana ila nimeguswa zaidi na tahadhari aliompa Mkulu baada ya yeye kuondoka ofisini kwani hata mimi nimewahi kuwaza hivyo mara nyingi sana.
Kwenye maisha kwakeli ni bora wanaokukosoa kuliko wanaokupigia makofi kwa kila jambo.
Mkuu, umepewa ushauri mzuri na wa bure sasa kazi kwako.
===
Najua hawezi kunisikiliza mimi sana sana atafanya opposite kama siku zote ila najua atasoma, hiyo inatosha.
Rais Magufuli, It’s not too late to change! Unaweza kutubu na ukabadilika ukarudi kuwa yule Magufuli tuliempigia kura. Mtu asie na dharau, anaeongea na wnanchi wake kwa unyenyekevu na upendo na sio kwa ukali na matusi, rais asie na double standards.
Unaweza kubadilika, naamini umeshaona watanzania hawampendi huyu Magufuli wa sasa. Ndio umaskini unachangia watu kutokukupenda lakini kinachochangia zaidi ni hali ya hofu wanayoishi nayo wananchi.
Kama wewe ni mzalendo wa kweli Tafadhali badilika. Achana na wapinzani.waache waongeee, Maneno yao hayakuzuiii kufanya lolote. Tunaokuchamba mitandaoni acha tukuchambe, ukibadilika tutakosa la kukuchamba tutaacha wenyewe bila kuambiwa na mtu.Achia demokrasia ya nchi irudi kama zamani. Hii issue ya demokrasia inakimbiza mpaka wawekezaji! .
Watanzania wanachokihutaji kwako ni maendeleo tu sio kuona ubabe wako!
Watanzania ni watu waelewa sana unaweza kusimama ukawaambia ukweli kuwa serikali inapitia muda mgumu huwezi kutoa ajira au kupandisha mishahara na inabidi uwapunguze wafanyakazi wengine. That’s is better than kuwaondoa watu kwa kuwasingizia mambo kama vyeti feki etc. Ni bora ukawaambia ukweli . Itauma lakini tukiona unaonyesha utu tutakuelewa. Au hizo nyumba unazobomoa kweli serikali imeshindwa kabisa kutafuta option ya kibinadamu kuliko kuwaacha wananchi homeless? .
Bashite anakujengea chuki na wananchi hakuna kura hata moja anayokuongezea Bashite.ila ndo umemfanya muwakilishi wa serikali yako.Why?? Unafaidika nini na Bashite zaidi ya kumtuma kufanya uhalifu? Uhalifu ambao huitaji kuufanya, wewe ulishapendwa na watanzania bila kumtuma Bashite akafanye uhalifu so why now? .
Kingine acha visasi, kweli kila rais anaeingia madarakani akianza kulipiza visasi itakuwaje? Kumbuka na wewe kuna siku utaondoka Ikulu, unadhani watakuacha salama?? Ukiendelea hivi nakuhakikishia wewe ndo utakuwa rais wa kwanza Tanzania kufanyiziwa baada ya kutoka Ikulu na haitojalisha rais atakaefuata atakuwa ccm au upinzani wananchi watamlilia akufanyizie. Mark my words!
Kwakweli yote aliyoshauri ni mambo ya msingi sana ila nimeguswa zaidi na tahadhari aliompa Mkulu baada ya yeye kuondoka ofisini kwani hata mimi nimewahi kuwaza hivyo mara nyingi sana.
Kwenye maisha kwakeli ni bora wanaokukosoa kuliko wanaokupigia makofi kwa kila jambo.
Mkuu, umepewa ushauri mzuri na wa bure sasa kazi kwako.
===
Najua hawezi kunisikiliza mimi sana sana atafanya opposite kama siku zote ila najua atasoma, hiyo inatosha.
Rais Magufuli, It’s not too late to change! Unaweza kutubu na ukabadilika ukarudi kuwa yule Magufuli tuliempigia kura. Mtu asie na dharau, anaeongea na wnanchi wake kwa unyenyekevu na upendo na sio kwa ukali na matusi, rais asie na double standards.
Unaweza kubadilika, naamini umeshaona watanzania hawampendi huyu Magufuli wa sasa. Ndio umaskini unachangia watu kutokukupenda lakini kinachochangia zaidi ni hali ya hofu wanayoishi nayo wananchi.
Kama wewe ni mzalendo wa kweli Tafadhali badilika. Achana na wapinzani.waache waongeee, Maneno yao hayakuzuiii kufanya lolote. Tunaokuchamba mitandaoni acha tukuchambe, ukibadilika tutakosa la kukuchamba tutaacha wenyewe bila kuambiwa na mtu.Achia demokrasia ya nchi irudi kama zamani. Hii issue ya demokrasia inakimbiza mpaka wawekezaji! .
Watanzania wanachokihutaji kwako ni maendeleo tu sio kuona ubabe wako!
Watanzania ni watu waelewa sana unaweza kusimama ukawaambia ukweli kuwa serikali inapitia muda mgumu huwezi kutoa ajira au kupandisha mishahara na inabidi uwapunguze wafanyakazi wengine. That’s is better than kuwaondoa watu kwa kuwasingizia mambo kama vyeti feki etc. Ni bora ukawaambia ukweli . Itauma lakini tukiona unaonyesha utu tutakuelewa. Au hizo nyumba unazobomoa kweli serikali imeshindwa kabisa kutafuta option ya kibinadamu kuliko kuwaacha wananchi homeless? .
Bashite anakujengea chuki na wananchi hakuna kura hata moja anayokuongezea Bashite.ila ndo umemfanya muwakilishi wa serikali yako.Why?? Unafaidika nini na Bashite zaidi ya kumtuma kufanya uhalifu? Uhalifu ambao huitaji kuufanya, wewe ulishapendwa na watanzania bila kumtuma Bashite akafanye uhalifu so why now? .
Kingine acha visasi, kweli kila rais anaeingia madarakani akianza kulipiza visasi itakuwaje? Kumbuka na wewe kuna siku utaondoka Ikulu, unadhani watakuacha salama?? Ukiendelea hivi nakuhakikishia wewe ndo utakuwa rais wa kwanza Tanzania kufanyiziwa baada ya kutoka Ikulu na haitojalisha rais atakaefuata atakuwa ccm au upinzani wananchi watamlilia akufanyizie. Mark my words!