Baada Ya kuangalia Dunia ilivo napata maswali mengi sana juu ya nchi yangu Tanzania, Mama Tanzania.
Hivi Rais Magufuli kwa miaka mitatu amefanya mabaya sana kuliko Rais Kagame wa Rwanda?
Naona kuna kitu kisicho cha kawaida kitatujia Watanzania.
Mbona Rwanda haijawahi kujadiliwa kama sisi na wala hata kuwekewa vikwazo vyovyote na EU au U.S.A
Hivi Rais Magufuli kwa miaka mitatu amefanya mabaya sana kuliko Rais Kagame wa Rwanda?
Naona kuna kitu kisicho cha kawaida kitatujia Watanzania.
Mbona Rwanda haijawahi kujadiliwa kama sisi na wala hata kuwekewa vikwazo vyovyote na EU au U.S.A