Rais Kagame Kamteua Mtanzania kuwa waziri

Kagame only rewards hard workers for promotions while jk does it on friendship/relationship/ccmship. The outcome is differrences on dvt.
 
I smell a rat, kuna issue kubwa sana hatuijui hapa,chezea kagame.
 
Wote hawa ni watusi ambao walikuja kuchota maarifa, sasa wameludi kwao ssi tumekalia siasa ww ccm a!' ww cdm na inchi yao inazidi kusonga mbele.
 
Kweli, hawa ni wakuchunguza, yaani wabongo wanasota kwa kukosa ajira kumbe nafasi zimejazwa na Wanyarwanda. Halafu ukiangalia, wengi wao hawana uchungu na nchi hii japo wameshikiria nafasi nyeti. Kwa hali hii, URAIA wa nchi mbili tuukatae ili tuweze kuwabana hapo baadaye.

Watz full majungu sana. Fatilia Rwanda walio hipatia sifa katika elimu ni wataalamu kutoka Tz leo hii hapa Tz mtaalamu akisema anaomba milioni kazaa afanyie mradi katika sekta yake hasa vyuo vikuu unakuta pesa anayopewa ni robo ya aliyoomba sasa unategemea nini hapo? Tuache majungu tufanye kazi uone kama Tz haita paa juu Afrika nzima. Serikali ipunguze matumizi yasiyo na lazima kama kuacha kutumia magari ya ghalama VX, V8 na mengine nakuamishia matumizi ktk elimu yetu kuanzia chekechea hadi vyuo vikuu huone kama hakutatokea mabadiliko. Hakuna haja yakusema sijui huyu mnyarwanda hili tumfukuze, je anafanya kazi vyema? Leo hii kama nchi zote za ulaya na amerika zingekuwa na mawazo kama yako wasinge fika hapo walipo.

Mungu ibariki Tanzania.
 
hata mtoto mdogo ukimuonyesha tu picha ya huyu jamaa atakwambia 98% huyu ni mnyarwanda
 
Kweli, hawa ni wakuchunguza, yaani wabongo wanasota kwa kukosa ajira kumbe nafasi zimejazwa na Wanyarwanda. Halafu ukiangalia, wengi wao hawana uchungu na nchi hii japo wameshikiria nafasi nyeti. Kwa hali hii, URAIA wa nchi mbili tuukatae ili tuweze kuwabana hapo baadaye.

Wabongo majungu na wivu ndio jadi yetu hata tu kufikirisha vichwa hatutaki. Kwa taarifa yako hata wewe hapo ulipo kama una ujuzi kwenye sekta ya afya, elimu, miundombinu au una uwezo wa kuwekeza kwenye sekta hizo, Kagame anakukaribisha na kukupatia ajira siku hiyo hiyo. Kama ni mwekezaji siku hiyo hiyo unapata vibali vyote na ardhi/ eneo utakalowekeza bure! Kagame anachotaka ni brain yako haangalii utaifa sijuwi uraia kwake havina nafasi ili mradi unaweka impact katika maendeleo ya nchi yake.

Ndio maana anakupa kazi asubuhi, ukicheza jioni anakufukuza, he mean business.
 
huyu profesa namfahamu sana. Ni mtutsi na aliingia Tanzania miaka ya 60 katikati wakafikia Karagwe wakitokea Rwanda. Hajawahi kuzaliwa Tanzania, na huko Muleba hana ukoo kabisa, ukoo wake upo Bunazi Missenyi. Kama ilivyo kwa Wanyarwanda wengi waliokuwa wakijifanya Wanyambo, alirudi katika nchi yake ya asili kuijenga. Kwa ujumla wanyarwanda wote hata iwe vp ughaibuni lazima wawe loyal kwa Rwanda
 
Watanzania majungu

akina Awori waliongoza Kenya na Uganda...

Haijalishi mtu ni wapi as long as amekubali kuwa raia mwema wa chi husika, tuna akina Rostam, Rage nk... ni watanzania lakini ni wabaya bora hata angekuja mzimbabwe hapa kuja kuwa kiongozi/mwakilishi wa wananchi

Tuna akina Mabala, wapo hapa na wana ndugu ulaya

we should focus kwenye tija zaidi
 
Wabongo majungu na wivu ndio jadi yetu hata tu kufikirisha vichwa hatutaki. Kwa taarifa yako hata wewe hapo ulipo kama una ujuzi kwenye sekta ya afya, elimu, miundombinu au una uwezo wa kuwekeza kwenye sekta hizo, Kagame anakukaribisha na kukupatia ajira siku hiyo hiyo. Kama ni mwekezaji siku hiyo hiyo unapata vibali vyote na ardhi/ eneo utakalowekeza bure! Kagame anachotaka ni brain yako haangalii utaifa sijuwi uraia kwake havina nafasi ili mradi unaweka impact katika maendeleo ya nchi yake.

Ndio maana anakupa kazi asubuhi, ukicheza jioni anakufukuza, he mean business.

Fikiria sana Mkuu, kazi za kitaalamu sawa mbona hata hapa kwetu kuna wamataifa mengine kibao wameajiriwa kufanya kazi kama Maximo, lakini sio dhamana ya uwaziri yaani siri za nchi na maendeleo ya hatua yawe mikononi mwa foreigner? No way Tusibishe huyu jamaa ni Mtutsi kabisa
 
wadanganyika bana! Huoni kwamba hata jina ni la kinyarwanda? Huyo mdogo wake anajikinga ili asije kuulizwa kibali cha kuishi nchini. Kagame sio mjinga ampe mtanzania uwaziri tuacheni uzushi.

jf embu angalien vya kumeza
huyu baba wa kinywaranda kabisa hata nimlete form four 10 waliopata 0 watatuona wote jf wehu tumepta div -0 kwa tunayochangia
 
hata mtoto mdogo ukimuonyesha tu picha ya huyu jamaa atakwambia 98% huyu ni mnyarwanda

Acha kukariri wewe,wanyarwanda wakoje?na wanatofauti gani na mtanzania wa kawaida?(a)wana macho manne?
(b)wana pembe Kama ng'ombe?
(c)wana masikiio Sita?
(d)mengineyo
Tufahamishe Hilo mkuu
 
Back
Top Bottom