Naam mkuuKagame akili kubwa.
View attachment 1684151
View attachment 1684152
View attachment 1684153
Kila aliyekabidhiwa funguo za nyumba alipewa na chakula cha kuanzia maisha. Kijiji kina huduma zote za jamii, kuanzia shule, hospitali, kituo cha Polisi, soko, umeme, maji na barabara.
Tuna kwamia Chato.Hivi Tanzania tunakwama wapi
Akili kubwa ni Prezidenti Bulldozer anayewaandaa vijana mapema ili hatimaye waweze kununua viwanja vyao wenyewe na kujenga makazi yao wenyewe na mahali wapendapo wenyewe bila kuilalia na kuielemea serikali. Utegemezi wa aina yoyote kwa mtu mwenye potential ni ugonjwa hatari sana usioweza kuponyeka, hata kama wangekuja wale madaktari wa India wanaohamishia moyo mgongoni, ubongo tumboni na kesho yake mtu anatembea.Kagame akili kubwa.
Wajibu hao wanaotumia mishipa ya damu kufikiri.Akili kubwa wapi bwana nchi ya ruanda sawa na mkoa wa kibaha utashindwaje kujenga hebu tuache kujifananisha na rwanda ni aibu
Unajua ukubwa wa Rwanda na idadi ya watu? Unahisi ni kitu sawa kutengeneza udhaifu na morali ya kutafuta kwa wananchi? Utakula na kuishi kwa jasho lako popote duniani hapa,na huwezi fananisha maisha ya nchi moja na nyingine duniani kote,ni ufinyu wenu tu wa kifikraHivi Tanzania tunakwama wapi
Vipi ukubwa wa Tanzania na idadi ya watu na uchumi pia?Unajua ukubwa wa Rwanda na idadi ya watu?
Tunaanza na chato mkuuHivi Tanzania tunakwama wapi
Nenda popote duniani kama utakutana na maendeleo ya mtu binafsi yasiyo na jasho lake mwenyewe,kaeni hapa nchini mnajidanganya vijiweniVipi ukubwa wa Tanzania na idadi ya watu na uchumi pia?
Kabisa mkuu wanajidanganya aisee....hamna cha bwerereee hapa duniani .....ni kupambana .....hapa kazi tuu ....Nenda popote duniani kama utakutana na maendeleo ya mtu binafsi yasiyo na jasho lake mwenyewe,kaeni hapa nchini mnajidanganya vijiweni
Hata kama Rwanda ingekuwa a thousand times as big as our country, bado strategy yake hii kuhusiana na sustainable economic development & poverty alleviation ingekuwa unreasonable, irresponsible na pia ni human rights abuse.Unajua ukubwa wa Rwanda na idadi ya watu? Unahisi ni kitu sawa kutengeneza udhaifu na morali ya kutafuta kwa wananchi? Utakula na kuishi kwa jasho lako popote duniani hapa,na huwezi fananisha maisha ya nchi moja na nyingine duniani kote,ni ufinyu wenu tu wa kifikra