Kweli lakini pia mapato kama Kibaha tu lakini wanajenga kibaha.Akili kubwa wapi bwana nchi ya ruanda sawa na mkoa wa kibaha utashindwaje kujenga hebu tuache kujifananisha na rwanda ni aibu
Kweli lakini pia mapato kama Kibaha tu lakini wanajenga kibaha.Akili kubwa wapi bwana nchi ya ruanda sawa na mkoa wa kibaha utashindwaje kujenga hebu tuache kujifananisha na rwanda ni aibu
View attachment 1684151
View attachment 1684152
View attachment 1684153
Kila aliyekabidhiwa funguo za nyumba alipewa na chakula cha kuanzia maisha. Kijiji kina huduma zote za jamii, kuanzia shule, hospitali, kituo cha Polisi, soko, umeme, maji na barabara.
Mkoa wa kibaha?Akili kubwa wapi bwana nchi ya ruanda sawa na mkoa wa kibaha utashindwaje kujenga hebu tuache kujifananisha na rwanda ni aibu
Sawa bwashee.Ni dictator had sasa.
Ukianza kusaidia watu wenye uchumi wa kati, eventually utaongeza watu wenye uwezo wa kusaidia wengine na methodically utanyanyua hata wa uchumi wa chini.
Ukitaka kuanza kwa kusaidia watu wote kwa mpigo, hutapata hata nafasi ya kuanza. Watu hao ni wengi sana.
Mbona Tanzania haya yalishafanyika tangu miaka ya 1970's tunavyo vituo vya kulelea Wazee wasiojiweza karbia 10 Nchi nzima. Kipo kule Njiro Moshi, Kigoma kipo, Mwanza kipo, Lindi, Dar kipo nk nk. Wazee wote waliopo kituoni wanapata Chakula, Huduma za Malazi, Matibabu nk nk kwa gharama za Serikali kwa 100% miaka yote tangu Uhuru. Sasa hizo Showoff za Kagame za mwaka 2021 zinawatoa poooooovu kumbe Tanzania ishamaliza hizo mambo miaka 50 iliyopita tatizo wengi wenu hamvijui hata hivyo vituo ndio maaana mmebaki kusifia Wanaume wengine toka Nchi nyingine! Tembeleeeni vituo vya Wazee wasiojiweza mpate baraka na mjionee Serikali chini ya Wizara ya Afya inavyotoa huduma kwa babu na bibi zenu.Tz bado wapo kwenye kujenga zahanati na madarasa... Kwa kifupi sekta ya afya na elimu bado nichangamoto.... tupo nyuma sn kimaendeleo...
Hadi kufikia serikali Ina Jenga maghorofa na kugawa, kuuza au kupangisha apartments ni muda mrefu wa kuja kufanyika...
Sisi pia tunawajengea wasio na uwezo pale Magomeni Quarters.Kagame akili kubwa.
Mbona Tanzania haya yalishafanyika tangu miaka ya 1970's tunavyo vituo vya kulelea Wazee wasiojiweza karbia 10 Nchi nzima. Kipo kule Njiro Moshi, Kigoma kipo, Mwanza kipo, Lindi, Dar kipo nk nk. Wazee wote waliopo kituoni wanapata Chakula, Huduma za Malazi, Matibabu nk nk kwa gharama za Serikali kwa 100% miaka yote tangu Uhuru. Sasa hizo Showoff za Kagame za mwaka 2021 zinawatoa poooooovu kumbe Tanzania ishamaliza hizo mambo miaka 50 iliyopita tatizo wengi wenu hamvijui hata hivyo vituo ndio maaana mmebaki kusifia Wanaume wengine toka Nchi nyingine! Tembeleeeni vituo vya Wazee wasiojiweza mpate baraka na mjionee Serikali chini ya Wizara ya Afya inavyotoa huduma kwa babu na bibi zenu.
Ninyi ni wale wapumbavu mnao shinda vijiweni mnaponda nchi yenu mliyo zaliwa ilihali huko nje mnako kusifia ukienda watu wake wanakwambi wanatamani waje waishi Tanzania..jinga ninyi msio na uzalendo na ardhi ya baba na babu zenu,mna laana nyieKenya wameshafanya hivyo kama walivyofanya Rwanda...
Kama ujui kitu kaa kimya
Wewe mtz mpiga mapambio ht ule ujenzi wa pale magomeni Ni shida kuukamlisha, je mtaweza kugawa nyumba kwa raia?
what next after depleting the foodstuff? who will be their saviour?View attachment 1684151
View attachment 1684152
View attachment 1684153
Kila aliyekabidhiwa funguo za nyumba alipewa na chakula cha kuanzia maisha. Kijiji kina huduma zote za jamii, kuanzia shule, hospitali, kituo cha Polisi, soko, umeme, maji na barabara.
kwa mpalangeHivi Tanzania tunakwama wapi
Ninyi ni wale wapumbavu mnao shinda vijiweni mnaponda nchi yenu mliyo zaliwa ilihali huko nje mnako kusifia ukienda watu wake wanakwambi wanatamani waje waishi Tanzania..jinga ninyi msio na uzalendo na ardhi ya baba na babu zenu,mna laana nyie