Rais Kagame 2019 tu alisafiri nje mara 59. Leo safari 9 tu za nje za Rais Samia kelele kila kona. Je, ni Ushamba?

Kagame kaiunganishia Rwanda ile biashara ya Arsenal na PSG ya Visit Rwanda. Leo hii Messi anavaa jezi yenye maneno yanayomkaribisha mtu Rwanda.

Kagame ni genious kwa maana halisi. Mama kufanya Royal Tour wajuaji wa Tanzania wakaanza kuchonga midomo kama kawaida yao.
Kagame yuko vizuri Sana, Sio mbaya kumtolea mfano
 
Tanzania kuifananisha na Rwanda kwa vyovyote vile, ni kutuvunjia heshima, na nidharau na kejeli kwa CCM chama tawala toka tupate Uhuru.

Kagame Alishamwambia Kikwete point blank " KUWA KAMA RWANDA WANGEKUWA NA BANDARI YA DAR ES SALAAM KUSINGEKUWA NA HAJA YA WAO KUHANGAIKA KWENDA NJE KUOMBA MISAADA!" Mkwere Akaona ametukanwa kumbe alikuwa anaambiwa ukweli Kuwa anakalia uchumi wake pale bandarini!

Hata Hangaya anahangaika hovyo kuvaa ngozi eti anavutia watalii; anachotakiwa kufanya ni kuziba mianya ya hao watu wake wanaoiba mabillioni ya shilling huko kwenye malipo ya miradi yenu ya kimkakati!! Kila siku gharama za miradi zinapanda kwa ufisadi [ COST OVERRUNS] wa wasaidizi wake!! Imagine kama kwenye kujenga meli tu wizi ulikuwa hivyo mpaka Hangaya kupagawa,Je huko kwenye bwawa la Nyerere na SGR wizi ni wa kiwango gani?
 
Tanzania kuifananisha na Rwanda kwa vyovyote vile, ni kutuvunjia heshima, na nidharau na kejeli kwa CCM chama tawala toka tupate Uhuru.
Umewahi kukanyaga ardhi ya Rwanda??
Kuna timu za Ulaya kila wakivaa jezi wnaitambulisha Rwanda duniani.
Watalii wanaifahamu Rwanda kuliko wanavyoijua Serengeti au Zanzibar.
Kuna mahali hatuko sawa.
Tukome kuijenga ccm.
Tuanze kuijenga nchi yetu!
 
Rais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59 | Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona, Je, Ni ushamba, Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
______

Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,

Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma
2. Ziara za Rais zinafungua nchi

Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA

UWEKEZAJI WA NJE RWANDA (FDI)
______________

Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19

Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL

Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get.

||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje

• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,

• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji, Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi

• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice

Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu



View attachment 1945274

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Tutafika tu
 
Kagame Alishamwambia Kikwete point blank " KUWA KAMA RWANDA WANGEKUWA NA BANDARI YA DAR ES SALAAM KUSINGEKUWA NA HAJA YA WAO KUHANGAIKA KWENDA NJE KUOMBA MISAADA!" Mkwere Akaona ametukanwa kumbe alikuwa anaambiwa ukweli Kuwa anakalia uchumi wake pale bandarini!

Hata Hangaya anahangaika hovyo kuvaa ngozi eti anavutia watalii; anachotakiwa kufanya ni kuziba mianya ya hao watu wake wanaoiba mabillioni ya shilling huko kwenye malipo ya miradi yenu ya kimkakati!! Kila siku gharama za miradi zinapanda kwa ufisadi [ COST OVERRUNS] wa wasaidizi wake!! Imagine kama kwenye kujenga meli tu wizi ulikuwa hivyo mpaka Hangaya kupagawa,Je huko kwenye bwawa la Nyerere na SGR wizi ni wa kiwango gani?
Too theoretical
 
1. Hakuna haja ya kuanza kuchukua mfano wa Kagame wala yeyote
2. Safari za Rais nje ni Wajibu ( asiposafiri anakuwa hawajibiki) na ni Haki yake (Mkuu wa nchi ni Mwanadiplomasia no.1; anakaribishwa na pia ana haki ya kupanga kuzuru Nchi nyingine kwa ajili ya nchi yake hususan, kukuza diplomasia ya uchumi. Pia ana uhuru wa kusafiri kwenda nje ya nchi kama raia ambaye hajazuiwa hata kwa mapumziko kama ulivyo na uhuru huo.
 
Umewahi kukanyaga ardhi ya Rwanda??
Kuna timu za Ulaya kila wakivaa jezi wnaitambulisha Rwanda duniani.
Watalii wanaifahamu Rwanda kuliko wanavyoijua Serengeti au Zanzibar.
Kuna mahali hatuko sawa.
Tukome kuijenga ccm.
Tuanze kuijenga nchi yetu!
Unayohoja mkuu wangu
 
Rais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59 | Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona, Je, Ni ushamba, Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
______

Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,

Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma
2. Ziara za Rais zinafungua nchi

Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA

UWEKEZAJI WA NJE RWANDA (FDI)
______________

Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19

Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL

Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get.

||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje

• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,

• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji, Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi

• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice

Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu



View attachment 1945274

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Kagame wa Nyoko! Antuhusu nini hadi umtolee mfano kwetu? Akili ndogo kama hii ya kwako, unatawaliwa hata na ngiri.
 
Kama CCM wangemchagua Samia Suluhu kuwa mombea uRais badala ya Magufuli mwaka 2015 basi Tanzania tungekuwa tumeipita Kenya kwa GNP na sasa tunakimbizana na Ethiopia na Morocco kwenye top 10 ya Africa.

Ile miradi ya NHC ya Kawe na Morocco, miradi ya NSSF ya Dege Eco Village, Bandari ya Bagamoyo na Gesi ya Mtwara zingekuwa zimetiki sana. Maana alipoishia Kikwette ndipo Samia angeanzia.

Lakini likikuja popoma la chemistry likajifanya linajuwa kila kitu likakimbilia kukata miti ya Selous Game reserve ili lipate Megawati 2100 za umeme. Likasimamisha miradi yote aliyoanzisha JK.
Nakubaliana na wewe 100%
 
IMG-20220204-WA0042.jpg
 
Umewahi kukanyaga ardhi ya Rwanda??
Kuna timu za Ulaya kila wakivaa jezi wnaitambulisha Rwanda duniani.
Watalii wanaifahamu Rwanda kuliko wanavyoijua Serengeti au Zanzibar.
Kuna mahali hatuko sawa.
Tukome kuijenga ccm.
Tuanze kuijenga nchi yetu!
Nchi hii, sehemu kubwa ya bajeti ya serikali, inakwenda CCM. Makatibu wakuu hata hazina yetu inapewa amri na kuchota pesa kurudishwa makao makuu ya CCM. Hilo ndo balaa la nchi.
 
Rais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59 | Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona, Je, Ni ushamba, Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
______

Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,

Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma
2. Ziara za Rais zinafungua nchi

Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA

UWEKEZAJI WA NJE RWANDA (FDI)
______________

Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19

Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL

Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get.

||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje

• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,

• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji, Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi

• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice

Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu



View attachment 1945274

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Chapa kazi Mama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom