Nilitaka kuandika hivi hivi; kwamba eti Rwanda??? Sisi tulinganishwe na Rwanda kwa kipi? Wakazi wake wengi wanaogopa hata kutumia umeme ndio tulinganishwe nao?? Sisi tulinganishwe labda na Kenya, Zambia sio Rwanda na Burundi, hivyo vinchi ni kama Zanzibar tuTanzania kuifananisha na Rwanda kwa vyovyote vile, ni kutuvunjia heshima, na nidharau na kejeli kwa CCM chama tawala toka tupate Uhuru.
Haya mbona hukuyasema kipindi Cha mwenda zake?Rais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59 | Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona, Je, Ni ushamba, Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
______
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,
Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma
2. Ziara za Rais zinafungua nchi
Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA
UWEKEZAJI WA NJE RWANDA (FDI)
______________
Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL
Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get.
||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje
• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,
• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji, Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi
• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice
Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu
Rwanda Development Board registers US$ 1.3 billion worth of investments in 2020 - Official Rwanda Development Board (RDB) Website
The Rwanda Development Board (RDB) registered investments worth US$ 1.3 billion in 2020, a decrease of 47.1% from the previous year. In 2019, RDB registered investments worth US$ 2.46 billion. The decline in investments was attributed to the COVID-19 pandemic that affected the global economy...rdb.rw
View attachment 1945274
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Mama WA kimataifaRais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59 | Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona, Je, Ni ushamba, Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
______
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,
Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma
2. Ziara za Rais zinafungua nchi
Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA
UWEKEZAJI WA NJE RWANDA (FDI)
______________
Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL
Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get.
||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje
• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,
• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji, Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi
• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice
Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu
Rwanda Development Board registers US$ 1.3 billion worth of investments in 2020 - Official Rwanda Development Board (RDB) Website
The Rwanda Development Board (RDB) registered investments worth US$ 1.3 billion in 2020, a decrease of 47.1% from the previous year. In 2019, RDB registered investments worth US$ 2.46 billion. The decline in investments was attributed to the COVID-19 pandemic that affected the global economy...rdb.rw
View attachment 1945274
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
nchi yetu itafika mbali sana,Haya ni maajabu ya mwaka mmoja wa Mama,
Vipi akimaliza kumi?
Tanzania washamba wengi ujueRais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59 | Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona, Je, Ni ushamba, Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
______
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,
Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma
2. Ziara za Rais zinafungua nchi
Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA
UWEKEZAJI WA NJE RWANDA (FDI)
______________
Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL
Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get.
||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje
• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,
• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji, Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi
• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice
Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu
Rwanda Development Board registers US$ 1.3 billion worth of investments in 2020 - Official Rwanda Development Board (RDB) Website
The Rwanda Development Board (RDB) registered investments worth US$ 1.3 billion in 2020, a decrease of 47.1% from the previous year. In 2019, RDB registered investments worth US$ 2.46 billion. The decline in investments was attributed to the COVID-19 pandemic that affected the global economy...rdb.rw
View attachment 1945274
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Samia ana akili ya kibiashara, sio rahisi kuiona kama mtu anayo mawazo ya kinoko, yale ya kishamba. Mtu mwenye mawazo madogo ndio ataangalia pesa ya msafara ya kwenda na kurudi lakini mwenye mawazo mapana atafungua ubongo wake kwa kina na kuangalia maana pana ya uwekezaji unaoendelea nchini.Rais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59 | Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona, Je, Ni ushamba, Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
______
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,
Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma
2. Ziara za Rais zinafungua nchi
Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA
UWEKEZAJI WA NJE RWANDA (FDI)
______________
Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL
Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get.
||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje
• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,
• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji, Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi
• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice
Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu
Rwanda Development Board registers US$ 1.3 billion worth of investments in 2020 - Official Rwanda Development Board (RDB) Website
The Rwanda Development Board (RDB) registered investments worth US$ 1.3 billion in 2020, a decrease of 47.1% from the previous year. In 2019, RDB registered investments worth US$ 2.46 billion. The decline in investments was attributed to the COVID-19 pandemic that affected the global economy...rdb.rw
View attachment 1945274
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
[/QUOTE]Unaelewa maana ya hii,
Hii Rwanda tusiichukulie poa kabisa,
Tuache Rais afungue nchi,
QUOTE="CM 1774858, post: 40269491, member: 635023"]
14 Of The Safest Countries in Africa — High Spirit Bags
A lot of people assume that the continent of Africa is unsafe. This has mainly been caused by false and bias portrayal by the media. When the average person hears of Africa, they automatically think of the worst, but that couldn’t be further from the truth. We have been to many countries in Africa awww.highspiritbags.com
QUOTE="Tangawizi, post: 40269425, member: 16913"]
Kwahiyo PK ndio standard mnayotumia kulinganisha mambo ya uongozi? Tanzania ni nchi tofauti na Rwanda. Usiwabeze hawa watanzania ambao wanapevuka kila uchao kuhusu mustakabali wa nchi yao, kwa kutoa mifano ambayo ni irerevant.
Rais kusafiri kuna sababu za umuhimu. Ni bora kutoa elimu kwa wanaohoji kuliko kutoa hii mifano mfu
CHADOMO MTAJUA HAMJUI?!Nafurahi kuona CCM yangu ya Zamani ya hoja inarudi kwa kasi,
Siasa ni hoja kwa hoja,
Awamu hii Chadema mtajua hamjui,
Mama Chapa kazi,Rais Paul Kagame wa Rwanda mwaka 2019 tu alisafiri nje mara 59 | Rais Samia wa Tanzania Safari 9 tu nje Wazalendo kelele kila kona, Je, Ni ushamba, Uzalendo, Wivu au roho Mbaya Tu.
______
Minong'ona inayoendelea juu ya Safari za Rais Samia nje si za kupuuzwa zinahitaji Ufafanuzi zaidi tena kwa mifano halisia,
Hoja za kubishaniwa ni Mbili tu
1. Ziara za Rais zinafuja pesa ya Umma
2. Ziara za Rais zinafungua nchi
Nimekupa jumla ya ziara za rais wa nchi inayopigiwa mfano kwa maendeleo ya kasi zaidi barani Africa iliyoko Africa Mashariki yaani RWANDA
UWEKEZAJI WA NJE RWANDA (FDI)
______________
Tuangalie uwekezaji wa nje FY2018|19
Mwaka 2017|18 Uwekezaji wa nje wa Rwanda yaani FDI ulifikia $ 0.382BL sawa na Tshs 840.2BL
Tuangazie pia uwekezaji Wa nje FY2018|19
• Mwaka 2018|19 Wakati Rais Kagame anaenda nje X59 nchi ya Rwanda ilipokea uwekezaji toka nje ( Foregh Direct Investment -FDI wa $ 0.91BL karibu sawa na Tshs 2trilioni, hii ni sawa na ongezeko la uwekezaji wa nje kwa Tshs 1.2trilioni ambazo ni sawa na 143%,
Inaitwa the more You go the more You get.
||Kagame Safari 59, faida ya Safari ni uwekezaji wa Tshs 1.2trl ,Je Safari ni faida au hasara?! Jibu waambie na wenzako wanaopinga ziara za Rais nje
• Pamoja na CORONA, Mwaka 2018|19 Wakati wawekezaji wakikimbilia kuwekeza kwenye kanchi kenye watu wasiozidi 12M Sisi Tanzania wenye watu zaidi 60m tuliambulia uwekezaji wa nje yaani FDI ya $1.1BL karibu Tshs 2.2trilioni na hawa niwale waliojilita wenyewe tu,
• Nchi yenye ukubwa kama mkoa wa Tabora inapata uwekezaji karibu sawa na Tanzania,Shida ilikuwa nani awafuate wawekezaji, Mwekezaji akifuatwa na Rais wa nchi anakuwa na assurance kubwa kuliko akifuatwa na Waziri,Kwa Ufafanuzi huu wanaopenda kuelewa mtakuwa mmeelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya nchi
• Nimwenye roho ya kimasikini tu ndio anawaza gharama za rais kusafiri nje badala ya kuwaza uwekezaji wa matrilioni na mabilioni tutakaoupata kama matokeo ya ziara za Rais nje,Ukitaka kula lazima uliwe in JK voice
Yule hakutoka ndio maana tulipata kiduchu | Huyu anatoka kama wenzake mwacheni tutapata chochote kitu
Rwanda Development Board registers US$ 1.3 billion worth of investments in 2020 - Official Rwanda Development Board (RDB) Website
The Rwanda Development Board (RDB) registered investments worth US$ 1.3 billion in 2020, a decrease of 47.1% from the previous year. In 2019, RDB registered investments worth US$ 2.46 billion. The decline in investments was attributed to the COVID-19 pandemic that affected the global economy...rdb.rw
View attachment 1945274
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA