KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Kuna vitu hapa naona watu wanaweza kubeza ila si kila kitu cha kubeza!!
Swala machinga ni kubwa na linahitaji ustadi mkubwa kulishughulikia ukilichukulia kama wale ni wazurulaji unakuwa unakosea!
Ukiwafukuza machinga bila kuanda miundo mbinu nikuwarudisha nyuma kimaisha,
Je unajua wale wanaendesha biashara zao kwakuchukua mikopo katika small grants??
Je watairudusha vipi wakati wao hawana tena nyezo? Je unako wapeleka umewaandalia misingi ili mitaji yao iendelee kuboreka?? Naona kuwaswaga machinga niudhalilishaji! Heko Rais Magufuli kwa hatua ulizozichukua. Watakao beza kwa hilo ni sababu zao binafsi,
Pili wachimbaji wadogo wanatakiwa kuandaliwa mazingira na sikuwatimua migodini na kuwambia eti mwekezaji ana miliki eneo wale nao wanachangia pato la taifa pia wanaendeshea maisha yao. Hili tatizo lipo pia GGM ,Tanzanite one mine wachimbaji wadogo wanauwawa sana na wawekezaji bira huruma nikuombe Rais na huko tuma vijana wako shida ipo pia huko.
Swala machinga ni kubwa na linahitaji ustadi mkubwa kulishughulikia ukilichukulia kama wale ni wazurulaji unakuwa unakosea!
Ukiwafukuza machinga bila kuanda miundo mbinu nikuwarudisha nyuma kimaisha,
Je unajua wale wanaendesha biashara zao kwakuchukua mikopo katika small grants??
Je watairudusha vipi wakati wao hawana tena nyezo? Je unako wapeleka umewaandalia misingi ili mitaji yao iendelee kuboreka?? Naona kuwaswaga machinga niudhalilishaji! Heko Rais Magufuli kwa hatua ulizozichukua. Watakao beza kwa hilo ni sababu zao binafsi,
Pili wachimbaji wadogo wanatakiwa kuandaliwa mazingira na sikuwatimua migodini na kuwambia eti mwekezaji ana miliki eneo wale nao wanachangia pato la taifa pia wanaendeshea maisha yao. Hili tatizo lipo pia GGM ,Tanzanite one mine wachimbaji wadogo wanauwawa sana na wawekezaji bira huruma nikuombe Rais na huko tuma vijana wako shida ipo pia huko.