binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 8,897
- 22,269
Wacha awanyooshe wamezidi kumsifu na kumuabudu! Magufuli hawapendi kabisa wana CCM, na hampendi mtu yeyote yule, ni vile tu watu wanajipendekeza kwake... hawapendi, hawathamini wala hawaheshimu. Ndio hivyo hawana meno, hawana chakumfanya, walidhani ni wapinzani tu wataisoma namba kumbe na wao 😂Kuna mafisi wa Lumumba bado wanamwona JPM kama 'kimungu mtu' fulani hivi...