Ryan Holiday
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,854
- 3,874
Hayati Magufuli akiwa katika matembezi ndani ya Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma - mwaka 2020.
Japo kuna watu hawa kumtaja hii leo kwa maslahi binafsi kwa kujizima data kwenye moja na mbili.
Lakini hii ndio maana halisi ya kazi Iendelee..đź‘Ź
Hongera Sana Amiri Jeshi Mkuu Samia Suluhu Hassanđź‘Ź
Mwamba uyo hapooo akibarizi na kudadasi ndani ya Ikulu Chamwino.
Japo kuna watu hawa kumtaja hii leo kwa maslahi binafsi kwa kujizima data kwenye moja na mbili.
Lakini hii ndio maana halisi ya kazi Iendelee..đź‘Ź
Hongera Sana Amiri Jeshi Mkuu Samia Suluhu Hassanđź‘Ź
Mwamba uyo hapooo akibarizi na kudadasi ndani ya Ikulu Chamwino.