Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,117
- 49,474
missing you too..
nimenyimwa namba....
missing you too..
Mh rais magufuli akiwa amejipunzisha katika mawe yaliyopo ikulu Dodoma
Wiki iliyopita
Je hizi picha za Magufuli tumejifunza nini sisi Vijana?
Tutiririke mawazo yetuView attachment 1402476View attachment 1402477View attachment 1402478View attachment 1402479
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana unaona corona haisumbui kabisa hapa TZ. Na itapita si muda mrefu!Kitamaduni kwenye mawe makubwa, miamba misitu minene na miti mikubwa ndio sehemu tulizokuwa tunaenda kufanyia matambiko, makafara na ibada za mizimu.. Hapa ni Kabla hatujaletewa dini za ughaibuni
Kuna baadhi ya makabila mpaka leo hii wanaziheshimu hizi mila za kuwa na miungu yenye nguvu kwenye mawe na majabali makubwa, miti mikubwa misitu minene nknk na hufika huko kupeleka shida zao ama kuomba mambo fulani fulani
Jr
Kwa hyo mshana umejifunza nini?Kitamaduni kwenye mawe makubwa, miamba misitu minene na miti mikubwa ndio sehemu tulizokuwa tunaenda kufanyia matambiko, makafara na ibada za mizimu.. Hapa ni Kabla hatujaletewa dini za ughaibuni
Kuna baadhi ya makabila mpaka leo hii wanaziheshimu hizi mila za kuwa na miungu yenye nguvu kwenye mawe na majabali makubwa, miti mikubwa misitu minene nknk na hufika huko kupeleka shida zao ama kuomba mambo fulani fulani
Jr
Ndiyo maana unaona corona haisumbui kabisa hapa TZ. Na itapita si muda mrefu!
Si kweli zinamengi ya kujifunza na zinabeba ujumbe mkubwa kuliko hata kitabuHuwa nafunzwa na maandishi.. Picha hupotosha
Jr
Nimejifunza kwamba Idle mind is the devil's workshopMh rais magufuli akiwa amejipunzisha katika mawe yaliyopo ikulu Dodoma
Wiki iliyopita
Je hizi picha za Magufuli tumejifunza nini sisi Vijana?
Tutiririke mawazo yetuView attachment 1402476View attachment 1402477View attachment 1402478View attachment 1402479
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnafiki Never Seen Before.Mh rais magufuli akiwa amejipunzisha katika mawe yaliyopo ikulu Dodoma
Wiki iliyopita
Je hizi picha za Magufuli tumejifunza nini sisi Vijana?
Tutiririke mawazo yetuView attachment 1402476View attachment 1402477View attachment 1402478View attachment 1402479
Sent using Jamii Forums mobile app
You can take a man out of the village but you can't take the village out of a man
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho - JamiiForumsSi kweli zinamengi ya kujifunza na zinabeba ujumbe mkubwa kuliko hata kitabu
Tuambie tu kile ulichojifunza na sie vijana wenzio tupate elimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka ghaflaTunywe/tule mtori,nyama tutazikuta chini.
Dah noma sana,nzuri hiyooYou can take a man out of the village but you can't take the village out of a man
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya kulala juu ya mawe nimeielewa,hata mm kipindi flan nilikuwa nikikimbilia kwenye mawe na kujigalagaza juu yake.Ingawa wakati ni washida hupaswi kuhudhunika sana maana kila jambo huwa linamwisho.
Kusimama pembeni ukilitazama jiwe = kupatwa au kukabiliwa na shida ambayo Huna uwezo nayo.
Kulala juu ya jiwe =kukubali (kunyoosha mikono) juu ya hiyo shida au huo mitihani.
Kuchungulia pembeni ya jiwe tena ukiwa umeinama =yamaanisha shida au mitihani kutoweka pasipo wewe kuamini kabisa (ni sawa sawa na jambazi likiondoka lazima uchungulie)
Corona (crown) must go.
Sent using Jamii Forums mobile app