Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Umeona sasa,
Nafkiri umeniamini sasa
Ndio kiongozi wangu, But atakuwa ametuelewa na hatorudia kuwapakazia wenzie kiboboso
Umeona sasa,
Nafkiri umeniamini sasa
Kweli mkuu umejitahidi kuninyamazisha.
Kwanza ulicho kiandika hapa kina akisi jinsi ulivyo na akili ndogo na ulivyo mpumbavu.Nilikutwa na mtoto wa kiarabu, nilichezea sana mijeledi. Nilidharauliwa sana ila na mimi nilikuwa nishamtoboa yule demu zaidi ya mara tatu.
Haaaa usipaniki mkuu .Mpumbavu ni mama yako na baba yako....
Sawa mkuu. Ila umeongea kapoint flan hivi kameniingia kisawa sawa.Haaaa usipaniki mkuu .
Upumbavu wa mtu uonekana kutokana kitokacho mdomoni mwake.
Kuwaita wazazi wangu wapumbavu hakuniumizi kwa sababu hauna ushahidi wa kuonesha upumbavu wao.
Mm nimekuita mpumbavu kwa sababu umejitambilisha ww mwenyewe kutokana na ulicho kiandika.
Siku nyingine ukitaka kiandika jambo lolote fikiria marambili.
Haaaaa haya poa mkuuSawa mkuu. Ila umeongea kapoint flan hivi kameniingia kisawa sawa.
Hii weekend bhana watu tumekesha bar, akili haipo kabisaHaaaaa haya poa mkuu
Kwani muajemi ana nini cha ajabuIran sio muarabu,ni muajemi.Hawahusiani na waarabu kabisa.Na vile vile,fahamu na uelewe muarabu sio mtu mweupe,hao unaowaona na kuita waarabu,walio weupe ni mchanganyiko wa waarabu wa asili(weusi) na watumwa wazungu wa mashariki,walipooana,ndio wakapatikana machotara weupe.Waarabu wasili(weusi),wapo wamebakia,baadhi ya sehemu.
Iran ni Iran. Si Muarabu na wala si Muajemi.Iran sio muarabu ni muajemi.
Sasa hiyo misalaha wanaoitengeneza unafikiri ya kazi gani?Kwani Hakuwezi kuwa na mazungumzo ya Amani kwanza?
Kwani Ni lazima kuua?
una akili sana, ukiwachanganya hao pamoja na Tech giants Facebook, Twitter, Amazon na Alphabet (google) ambao Trump alianzisha nao vita ndio ikawa kwaheri.Sababu ya Trump kuondolewa ni makampuni ya vifaa vita kutopata tenda za maana.
Trump ndiye raisi pekee ambaye hakuanzisha vita mpya plus alisaini mikataba ya amani ya kihistoria middle east and North KoreaNilishawahi kusema "Hakuna kama Clinton" alikuwa ni mtu wa amani sana.
Trump ndiye raisi pekee ambaye hakuanzisha vita mpya plus alisaini mikataba ya amani ya kihistoria middle east and North Korea
Halafu silaha mpya watazijaribia wapi,zilizoko ghalani kusubiri kuuzws zitauzwaje.Hizi vita za hawa watu ni za kiuchumi.Hakuna bepari anapigana vita isiyo na maslahi kwake.Kwani Hakuwezi kuwa na mazungumzo ya Amani kwanza?
Kwani Ni lazima kuua?