pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
MashogaMagaidi
MashogaMagaidi
Pole mkuu kwakutatuliwa.Mashoga
Hata aje nani hawezi kuwamalizaMagaidi watamkumbuka Trump aliwaacha acha hakuwapa kipigo hivi
Trump si ndio aliwafanya kitu mbaya kabisa alipomuua kamanda wao Qassem SuleimanMagaidi watamkumbuka Trump aliwaacha acha hakuwapa kipigo hivi
Tatzo hawapganii kwenye ardhi zaoMagaidi
Hawa ndio Democrats bhana.Kazi imeanza
Walianza wao wiki iliyopita alhamis, wamarekani wamelipizaHaya tunasubiri visasi kutoka kwa walioshambuliwa.
Nalog off
Iran ijaribu upuuzi kama ule wakurusha vikombora vyake kwenye kambi za Marekani tena kipindi hiki cha Biden ataona moto huyu sio Trump aliyezifanya silaha zikakosa matumiziTrump si ndo aliwafanya kitu mbaya kabisa alipomuua kamanda wao Qassem Suleiman
Huyu Biden sio Trump usimchukulie poa nimpenda vita? Iran isije ikajaribu ule upuuzi wa kurusha vikombora vyake kwenye kambi za USAbiden nae anajiingiza kwenye vita
Lakini wataona motoHata aje nani hawezi kuwamaliza
Watathubutu hawajipendiHaya tunasubiri visasi kutoka kwa walioshambuliwa.
Nalog off
Huyu Biden sio Trump usimchukulie poa nimpenda vita?Iran isije ikajaribu ule upuuzi wa kurusha vikombora vyake kwenye kambi za USA
Turampu alikua anatakaINAONYESHA Baiden hataki maskara
haya maneno yenu yakwenye khanga tushayazoea aseeeIran ijaribu upuuzi kama ule wakurusha vikombora vyake kwenye kambi za Marekani tena kipindi hiki cha Biden ataona moto huyu sio Trump aliyezifanya silaha zikakosa matumizi
Nayeye akijaribu watu watamjaribu IRAN haanzi ila akianzwa hakai kimya biden ajaribu aone...Huyu Biden sio Trump usimchukulie poa nimpenda vita?Iran isije ikajaribu ule upuuzi wa kurusha vikombora vyake kwenye kambi za USA
Mkuu vita si kitu rahisi kama unavyo fikiri.Iran ijaribu upuuzi kama ule wakurusha vikombora vyake kwenye kambi za Marekani tena kipindi hiki cha Biden ataona moto huyu sio Trump aliyezifanya silaha zikakosa matumizi