Elections 2015 Rais Jakaya Kiwete ashitakiwa Mahakama ya Kimataifa ya ICC

Umekosa cha kuandika
Rudi shulen mwalim wako wa uraia akakufundishe kazi kubwa moja ya mahakama ya ICC
Usidanganye watu
tukwambie kwamba rais wa nchi hii hana kashfa hata moja ya uhalifu wa kivita.

unajua maana ya neno uchochezi? Acha kukurupuka dogo
 
Hahahaha.. Yaani kuna watu wanachekesha hata huko icc watawashangaa
 
Kinachofanyika ni urofa na upumbavu, chadema wanatumia mambo ya kitoto na wanakuwa kama hawakwenda shule, wenzetu wanajua kila kinacho endelea hapa nchini.
Upo mzima kweli.? Umeandika nini hapa.?!
 
Ashitakiwe tu maana hamna namna, huyu jamaa anataka kutuletea machafuko kwenye nchi yetu
Tena yakitokea machafuko afungwe maana maneno yake yatakuwa ni chachu ya machafuko
 
Back
Top Bottom