Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kwa mara nyingine tena Rais Jakaya Kikwete amepiga safari ya juu kwa juu toka South Afrika to Kenya kwenye mahadhimisho ya Miaka 50 ya nchi hiyo iliyopata uhuru mwaka 1963.
Hii safari yake nje ya nchi inamfanya rais wetu kuwa nje ya nchi kwa takribani miaka 3 toka aingie madarakni na miezi kadhaa.
Hii safari yake nje ya nchi inamfanya rais wetu kuwa nje ya nchi kwa takribani miaka 3 toka aingie madarakni na miezi kadhaa.