Rais Jakaya Kikwete amteua Bwana Hussein A. Kattanga kuwa Mtendaji Mkuu wa Idara ya Mahakama

Mimi kila wakti nawashauri GT msipende kulalama bali muwe mnapoteza kidogo muda wenu kusoma Kkatiba yenu ya Muungano.

Someni Katiba ya Muungano inavyozungumzia mamlaka ya rais wenu katika sharia namba 15 ibara ya 9 ya mwaka 1984 na marekebisho yake katika sharia ya namba 3 ibara ya 6 ya mwaka 2000. kifungu cha 36 sehemu 2 inasema:
(2) Rais atakuwa na madaraka ya kuteua watu wa kushikanafasi za madaraka ya viongozi wanaowajibika kuweka sera zaidara na taasisi za Serikali, na watendaji wakuu wanaowajibikakusimamia utekelezaji wa sera za idara na taasisi hizo katikautumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, nafasi ambazozimetajwa katika Katiba hii au katika sheria mbalimbalizilizotungwa na Bunge kwamba zitajazwa kwa uteuziunaofanywa na Rais.
 
Mimi kila wakti nawashauri GT msipende kulalama bali muwe mnapoteza kidogo muda wenu kusoma Kkatiba yenu ya Muungano.

Someni Katiba ya Muungano inavyozungumzia mamlaka ya rais wenu katika sharia namba 15 ibara ya 9 ya mwaka 1984 na marekebisho yake katika sharia ya namba 3 ibara ya 6 ya mwaka 2000. kifungu cha 36 sehemu 2 inasema:
(2) Rais atakuwa na madaraka ya kuteua watu wa kushikanafasi za madaraka ya viongozi wanaowajibika kuweka sera zaidara na taasisi za Serikali, na watendaji wakuu wanaowajibikakusimamia utekelezaji wa sera za idara na taasisi hizo katikautumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano, nafasi ambazozimetajwa katika Katiba hii au katika sheria mbalimbalizilizotungwa na Bunge kwamba zitajazwa kwa uteuziunaofanywa na Rais.

Ishakuwa SHARIA na si SHERIA tena?
 
Binafsi namfahamu H. KATANGA ni mtanzania mchapa kazi. Ila naona kam vile kashuka kidago maana PMO-RALG/TAMISEMI ndiyo serikali bwana. All the best Bw Kattanga
 
Huyo jamaa ni miongoni mwa watendaji waliojuu sana kwa utendaji wa kazi zao hapa Tanzania sasa hivi, jamaa anafanya mambo makubwa kwa muda mfupi popote anapopita! na kila anapoondoka wafanyakazi humlilia, alitokea Mbinga kama Mkurugenzi akaliliwa, akaenda Kinondoni manispaa akaliliwa na wafanyakazi, akaenda Singida kama RAS na alipoondoka akaliliwa pia, akaenda Morogoro kama RAS akaondoka akaliliwa, akawa naibu waziri kule Jinsia na watoto hapo hakukaa hata miezi 3 sina taarifa kama alililiwa mana sidhani hata kama ali deliver kitu. Akaenda TAMISEMI kwa muda mfupi amefanya mambo makubwa.

Kifupi ni mtu mzuri anayeweza kutuletea mabadiliko popote anapokuwa, ni mbunifu sana na mtu wa kupenda maendeleo kama sisi wana JF. Naomba kuanzia leo muanze kumfatilia then mtakuja pata majibu. Ila kama ameondoka TAMISEMI itakuwa sio nzuri mana alianza isuka TAMISEMI vizuri sana, na kurekebisha mifumo mingi ya TAMISEMI iliyokuwa inakwamisha mambo... kwa hilo uteuzi wake utakuwa umeinyima haki TAMISEMI..
Mkuu njoo huku aisee SHIKAMOO Jamiiforums...
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Hussein A. Kattanga kuwa Mtendaji Mkuu wa Idara ya Mahakama kuanzia tarehe 1 Julai, 2012.

Uteuzi wa Bwana Kattanga ni sehemu ya utekelezaji wa Muundo Mpya wa Mahakama, na utekelezaji wa Sheria ya Uendeshaji wa Mahakama Namba 4 ya Mwaka 2011.

Sheria hii inaanzisha Kada Mpya ya Waendeshaji wa Mahakama, yaani Court of Administrators.

Hadi anateuliwa kushika wadhfa wake wa sasa, Bwana Kattanga alikuwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
5 Julai, 2012
Hussein Katanga
 
kwa mtazamo wangu;
cha kuhuzunikia hapa si alieteuliwa ni dini gani, kwan kila siku tumekua tukisema kua uteuzi usiangalie dini bali sifa za mtu. wakristo wengi tulikua na elimu kwasababu za kihistoria, tukajaa kwenye srikali na nafas mbali mbali za uongozi kwe mashirika ya uma, sasa kama hatutaki waislam wahoji wingi wetu kuliko wao kwa kigezo kua wao hawakusoma, tusilalamike pale muislam aliesoma anapoteuliwa mana utakua unaonyesha kua wewe ndio mwenye ubaguzi wa kidini.
cha kutuhudhunisha hapa kinatakiwa kiwe ni; idara ya mahakama haiko huru kwani kila nafasi muhimu ktk uongozi wa mahakama, pamoja na majudge ni presidential appointmemnts. sasa hapa ile kanuni ya mgawanyo wa madaraka haishiki hatamu kwa kiasi kinachotakiwa na usitegemee maamuz huru dhidi ya serikali. hili athar zake haziangalii dini yako.
unaeza usielewe kama ambavyo baadhi hatuelewi mgomo wa madaktar upo au haupo mpaka yakukute

Tulieni dawa iingie
 
Toka 2012 jamaa anakula teuzi tuu.

Kina Bashiru hawajaonja hata mishahara miwili wameshanyofolewa
Alikuwa siku zote hajui ya kwamba ccm ina wenyewe! Yaani yeye ni Makinikia, halafu anataka akae jikoni! Sasa amerudishwa mahali pake anako stahili.
 
Huyu mama sehemu nyeti anaweka vipenzi vya Mzee kikwete kulikon!

Hayati JPM alimteua Dk Mpango kuwa waziri wa Fedha, na kabla ya hapo Mpango alikuwa mkuu wa tume ya mipango nafasi aliyoteuliwa na JK akiwa madarakani,,, je Jpm nae aliteua vipenzi wa JK!????

PM Majaliwa aliteuliwa na JK unaibu waziri, Hayati akaja kumpa uPM, je Hayati nae aliteua vipenzi vya Jakaya!??

Makonda aliteuliwa na JK kuwa DC kinondoni, kisha Jpm akampa uRC, je Jpm nae aliteua vipenzi wa JK!??

unataka Raisi akamchukue dereva bodaboda ndio ampe ukatibu mkuu kiongozi au wadhifa wowote mkubwa???

Nafasi ya uraisi si sawa na ukocha wa mpira kwamba unaweza ukapewa timu leo ukafukuza wachezaji wote kisha ukasajili wapya kabisa

Jaribu kuwa mtu mwenye fikra pana kidogo ktk kutafakari mambo
 
Mbinga mbona mbali alikua mkurugenzi wa halmashauriya kinondoni,alipambana sana na genge la kina londa na mdogo wake Regina lowassa,baada lowassa akapendekeza aondolewe pale,akapelekwa kuwa RAS sijui mkoa gani nimesahau
Morogoro
 
Back
Top Bottom