Rubesha Kipesha
Member
- Mar 14, 2012
- 85
- 14
Great Thinkers tufikirie Utanzania wetu na siyo dini zetu. Pia tuwaze tunafanya
nini kwa taifa letu kwa nafasi tulizonazo. Tukianza kuchunguzana dini zetu naona ni kuanza
kukosa mambo ya msingi ya kufikiria na kutenda pia.
nini kwa taifa letu kwa nafasi tulizonazo. Tukianza kuchunguzana dini zetu naona ni kuanza
kukosa mambo ya msingi ya kufikiria na kutenda pia.