Rais J. Kikwete na siri nzito ya taifa hili kujulikana 2014

Tungependa iwe ivyo kama unavyo bashiri ila muda upungue isiwe 2013-2014 bali 2012 tena Mei mosi.
 
Ndugu wa Tanzania najuwa weng wenu mtakapo isoma post hii mtaibuka na maneno meng sana ila nitasema kile kitatoke either utaniuliza wewe nabii ama umetumwa jibu langu litakuwa subiri uwone.

Rais J. Kikwete amekuwa miongon mwa Rais tangu kufa kwa baba wa Taifa basi yeye amekuja na aina tofauti ya uwongoz ambao sii maadui ama marafiki zake wamebaki midomo wazi wasijuwe kile huyu kiongoz anakifanya.

Lakini pia ni lazima watanzania mjuwe J. Kikwete ni mmoja wa marais ambao wamefanya kazi ktk sehemu nyeti za taifa hili kama JWTZ. Pia ameweza kukaa wizara nyeti ikiwamo madini,fedha na mambo ya nje hivyo anajuwa madudu yanatenda ktk serikali.

Ni nani anajuwa Rais wetu anawaza nini juu ya watanzania? Je huyu ni rais atakaye kitetea chama ama masilai ya watanzani? Je kikwete anafurahia wizi, ujambaz wa rasilimali za taifa hili?

Majibu ndugu watanzania mtakwenda kuyapata mwishoni mwa 2013 na mwanzoni mwa mwaka 2014 nakuwapa kiburudisho 2015. HUYU NI MMOJA WA MARAIS WATAKAO INGIA KTK HISTORIA YA VITABU VYA TAIFA HILI NA MWISHON TUTAMSHUKURU.

Rais wetu ana mpango mzito ambao kama kuna watu wanaujuwa basi itakuwa ni watu wa karibu ktk idara za usalama wa Taifa na wazee ambao wapo karibu nae japo pia wanaweza wasijuwe kile amelenga kuwafanyia watanzania.

Ni kweli hakuna ajuwaye ila tutake tusitake J.K ataenda kubadilisha siasa za taifa hili na kwenda kuwapa kiburudisho wa Tanzania.

Watu wengi wanafikiria kwanini huyu bwana mkubwa ameshadadia issue ya katiba? Kwanin amechaguwa watu ambao wana misimamo mikali ktk siasa za taifa hili? Majibu mtayapata 2014!

Historia ya taifa hili itabadilika na kufunguliwa vitabu vipya. Hakuna anayejuwa ila ktk speach yake ya kwanza bungen wakati alipoingia madarakani kwa kishindo alisema. "Isije ikafika siku watoto wetu na wajukuu wetu wakachukua fimbo na kuyachapa makaburi yetu huku wakiuliza hivi kweli watu hawa walikuwa na akili pindi wanafanya maamuzi"

Mim nikiwa mchambuzi wa yale mtu huyasema maneno haya ni ya kizalendo sana kwa mtu anaelipenda taifa lake.

Ndugu watanzania hakuna anayejuwa kile kitatokea ila pia huenda bwana mkubwa akafanya mabadiliko makubwa ktk serikali yake mwaka huu baada ya bunge la budget.

Tuzidi kumuombea Mungu, vyombo vya usalama wa nchi msimuache huyu bwana mkubwa mlindeni kwa nguvu zote aijalish how much it wl cost us ila tunaitaji kuona Rais wetu anatekeleza kile kimekusudiwa, hasa tukijuwa mabepari wanakula na viongoz wasio waadilifu na kwa sababu hiyo hawawez kumpenda Rais wetu hasa wazo lake lakatiba mpya ambalo ndani yake kiama cha viongoz wabadhirifu kitakuwemo.

Mungu ibariki Tanzania na watu wake! Amen

Kama unaweza kusema haya basi wewe ni mmojawapo wa watu wachache sana walio na quality ya "ubinadamu". Nakupongweza sana!
 
Unayoyafikiri ni kama mazingaombwe tu, kwanini alishindwa kuwachukulia hatua mafisadi wa EPA na badala yake akatangaza hadharani kuwasamehe, huu ni uzalendo kwa taifa?. Tukaendelea mbele ikaja falsafa ya kujivua gamba tukajua ndio sasa anawatosa wahujumu uchumi wa taifa hili, lakini wapi, huu nao ndio uzalendo unaousema? yapo mengi sana ambayo Kikwete alipata nafasi ya kufanya maamuzi magumu lakini akashindwa. Kiongozi huyu si mzalendo hata kidogo tusidanganyane!!!!! Mzalendo wa kweli hawezi kunyamaza kuona rasilimali za nchi yetu zinatoroshwa kwa miaka tisa alafu mwaka mmoja aliobakiza ktk uongozi wake ndio achukue hatua, haiingii akilini!!!
 
Hakuna lolote huyo rais wenu, amalize tu muda wake ajiendee kwao 'akapumzike kwa amani'. Kama ni suala la katiba hilo wala siyo suala la kutuburudisha, hiyo ni haki yetu wala siyo hisani. Rais gani anakuwa madarakani miaka 10 lakini nchi inakuwa Kama haina kiongozi!? Aende zake huko.

U are right man,kwanza ajenda ya Katiba mpya hakuwa nayo! Hata ktk ilani ya chama cha magamba haipo. Sasa anatekelezaje hili kwa faida na ridhaa ya nani?. Naona watu wametumwa humu kumfagilia Jk wenu. Mm hamniconvice eti kuna siri nzito anaijua yeye tu. Sidanganyiki!
 
Unacho-ongea ni upuuzi mtupu.Ufanye damage ambaye ni unrepairable hafafu ujaribu ku-repair.That is craziness.
Ndugu wa Tanzania najuwa weng wenu mtakapo isoma post hii mtaibuka na maneno meng sana ila nitasema kile kitatoke either utaniuliza wewe nabii ama umetumwa jibu langu litakuwa subiri uwone.

Rais J. Kikwete amekuwa miongon mwa Rais tangu kufa kwa baba wa Taifa basi yeye amekuja na aina tofauti ya uwongoz ambao sii maadui ama marafiki zake wamebaki midomo wazi wasijuwe kile huyu kiongoz anakifanya.

Lakini pia ni lazima watanzania mjuwe J. Kikwete ni mmoja wa marais ambao wamefanya kazi ktk sehemu nyeti za taifa hili kama JWTZ. Pia ameweza kukaa wizara nyeti ikiwamo madini,fedha na mambo ya nje hivyo anajuwa madudu yanatenda ktk serikali.

Ni nani anajuwa Rais wetu anawaza nini juu ya watanzania? Je huyu ni rais atakaye kitetea chama ama masilai ya watanzani? Je kikwete anafurahia wizi, ujambaz wa rasilimali za taifa hili?

Majibu ndugu watanzania mtakwenda kuyapata mwishoni mwa 2013 na mwanzoni mwa mwaka 2014 nakuwapa kiburudisho 2015. HUYU NI MMOJA WA MARAIS WATAKAO INGIA KTK HISTORIA YA VITABU VYA TAIFA HILI NA MWISHON TUTAMSHUKURU.

Rais wetu ana mpango mzito ambao kama kuna watu wanaujuwa basi itakuwa ni watu wa karibu ktk idara za usalama wa Taifa na wazee ambao wapo karibu nae japo pia wanaweza wasijuwe kile amelenga kuwafanyia watanzania.

Ni kweli hakuna ajuwaye ila tutake tusitake J.K ataenda kubadilisha siasa za taifa hili na kwenda kuwapa kiburudisho wa Tanzania.

Watu wengi wanafikiria kwanini huyu bwana mkubwa ameshadadia issue ya katiba? Kwanin amechaguwa watu ambao wana misimamo mikali ktk siasa za taifa hili? Majibu mtayapata 2014!

Historia ya taifa hili itabadilika na kufunguliwa vitabu vipya. Hakuna anayejuwa ila ktk speach yake ya kwanza bungen wakati alipoingia madarakani kwa kishindo alisema. "Isije ikafika siku watoto wetu na wajukuu wetu wakachukua fimbo na kuyachapa makaburi yetu huku wakiuliza hivi kweli watu hawa walikuwa na akili pindi wanafanya maamuzi"

Mim nikiwa mchambuzi wa yale mtu huyasema maneno haya ni ya kizalendo sana kwa mtu anaelipenda taifa lake.

Ndugu watanzania hakuna anayejuwa kile kitatokea ila pia huenda bwana mkubwa akafanya mabadiliko makubwa ktk serikali yake mwaka huu baada ya bunge la budget.

Tuzidi kumuombea Mungu, vyombo vya usalama wa nchi msimuache huyu bwana mkubwa mlindeni kwa nguvu zote aijalish how much it wl cost us ila tunaitaji kuona Rais wetu anatekeleza kile kimekusudiwa, hasa tukijuwa mabepari wanakula na viongoz wasio waadilifu na kwa sababu hiyo hawawez kumpenda Rais wetu hasa wazo lake lakatiba mpya ambalo ndani yake kiama cha viongoz wabadhirifu kitakuwemo.

Mungu ibariki Tanzania na watu wake! Amen
 
images


Trouble is, truly ignorant people like TumainiEL, suffer from a degree of blindness stemming from their own personal lack of judgement. No amount of information or facts about our Kikwete can override the inherent inability to accurately evaluate his bad leadership. And so the majority of our people are closer to "follower" (bad leaders) than to "good or great leader".

TumainiEL, don't even bother arguing against this: you know it's right, Kikwete will go down in history as a product of a society that's too stupid for democracy and due to our own incompetence, in 2010 we tried to fix stupidity instead of voting it out. See what it got us?... another 5 years of incompetence and shame because we couldn't vote out Jakaya Mrisho Kiwete, how sad!
 
Hizi ndoto za JK kuwa kama movie star na kuwageuka mafisadi tulikuwa nazo humu toka kitambo sana, toka 2007 wakati najiunga, watu walikuwa wakiwish kuwa that was the case, hilo ni kwasababu ya imani kubwa waliyokuwa nayo kwake, pengine pamoja na hotuba hiyo uliyoizungumzia hapo juu.Nakumbuka watu waliquote hilo neno, na rumours za mabadiliko ya katiba na watu kufikishwa mahakamani during EPA etc.

Lakini, something changed, kiasi kwamba inakuwa shida kuona ni kivipi atamgeuka nani, certaily, kuna hata ambao wanafikiri kuwa itakuwa vigumu kwa JK kujigeuka yeye mwenyewe!

Hili ni endapo kama ni kweli watu hawajamzushia.Je issue ya EPA nayo si ilimwingiza madarakani?Ama nayo ni uzushi?

Kama ni kweli kuwa he is that "clean", then we'll see come 2014 kama ulivyosema, otherwise katiba kama ni ya wananchi, haihitaji nguvu ya rais kila inapokuja kwenye utekelezaji kwake, lets hope that will be the case, na kama akiwa subpoened, atokee.
 
Wadau hamuoni yote nimesema mwangwi wake umetokea bungeni? Tafadhal somen mrudie nakurudia muone ukwel ya yale yatatokea.
 
hana mpango wowote na watanzania ****** huyo. Yeye analolijua ni kuzurura nchi za watu, kuhongwa suti, na kubembea ughaibuni.
 
Ndugu wa Tanzania najuwa weng wenu mtakapo isoma post hii mtaibuka na maneno meng sana ila nitasema kile kitatoke either utaniuliza wewe nabii ama umetumwa jibu langu litakuwa subiri uwone.


Rais J. Kikwete amekuwa miongon mwa Rais tangu kufa kwa baba wa Taifa basi yeye amekuja na aina tofauti ya uwongoz ambao sii maadui ama marafiki zake wamebaki midomo wazi wasijuwe kile huyu kiongoz anakifanya.


Lakini pia ni lazima watanzania mjuwe J. Kikwete ni mmoja wa marais ambao wamefanya kazi ktk sehemu nyeti za taifa hili kama JWTZ. Pia ameweza kukaa wizara nyeti ikiwamo madini,fedha na mambo ya nje hivyo anajuwa madudu yanatenda ktk serikali.


Ni nani anajuwa Rais wetu anawaza nini juu ya watanzania? Je huyu ni rais atakaye kitetea chama ama masilai ya watanzani? Je kikwete anafurahia wizi, ujambaz wa rasilimali za taifa hili?


Majibu ndugu watanzania mtakwenda kuyapata mwishoni mwa 2013 na mwanzoni mwa mwaka 2014 nakuwapa kiburudisho 2015. HUYU NI MMOJA WA MARAIS WATAKAO INGIA KTK HISTORIA YA VITABU VYA TAIFA HILI NA MWISHON TUTAMSHUKURU.


Rais wetu ana mpango mzito ambao kama kuna watu wanaujuwa basi itakuwa ni watu wa karibu ktk idara za usalama wa Taifa na wazee ambao wapo karibu nae japo pia wanaweza wasijuwe kile amelenga kuwafanyia watanzania.

Ni kweli hakuna ajuwaye ila tutake tusitake J.K ataenda kubadilisha siasa za taifa hili na kwenda kuwapa kiburudisho wa Tanzania.

Watu wengi wanafikiria kwanini huyu bwana mkubwa ameshadadia issue ya katiba? Kwanin amechaguwa watu ambao wana misimamo mikali ktk siasa za taifa hili? Majibu mtayapata 2014!


Historia ya taifa hili itabadilika na kufunguliwa vitabu vipya. Hakuna anayejuwa ila ktk speach yake ya kwanza bungen wakati alipoingia madarakani kwa kishindo alisema. "Isije ikafika siku watoto wetu na wajukuu wetu wakachukua fimbo na kuyachapa makaburi yetu huku wakiuliza hivi kweli watu hawa walikuwa na akili pindi wanafanya maamuzi"

Mim nikiwa mchambuzi wa yale mtu huyasema maneno haya ni ya kizalendo sana kwa mtu anaelipenda taifa lake.

Ndugu watanzania hakuna anayejuwa kile kitatokea ila pia huenda bwana mkubwa akafanya mabadiliko makubwa ktk serikali yake mwaka huu baada ya bunge la budget.


Tuzidi kumuombea Mungu, vyombo vya usalama wa nchi msimuache huyu bwana mkubwa mlindeni kwa nguvu zote aijalish how much it wl cost us ila tunaitaji kuona Rais wetu anatekeleza kile kimekusudiwa, hasa tukijuwa mabepari wanakula na viongoz wasio waadilifu na kwa sababu hiyo hawawez kumpenda Rais wetu hasa wazo lake lakatiba mpya ambalo ndani yake kiama cha viongoz wabadhirifu kitakuwemo.

Mungu ibariki Tanzania na watu wake! Amen




Nilikuwa napita tu wazee nikaona niikuze hii kwa hawa wanaolalamikia ukubwa wa maandishi kutoka kwenye orijino uzi
 
Je wewe ni miongoni wa wazee wa Dar es Salaam? Nia njema inatoka wapi wakati nchi inaangamia Jk anasubiri 2014. Kwanza hakuwa na nia ya kuandika katiba mpya, kadandia Chadema. Pia yumo kwenye list of shame, na mwanae Riz1 kaongezeka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom