Tetere Enjiwa
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 217
- 65
[1] Hivi wakuu wa Mkoa na Wilaya wanafanyakazi gani ?.
[2] Mkoa wa Dar na Kilimanjaro haina wakuu wa mkoa je mikoa hiyo imekosa maendeleo,ulinzi na usalama ?. Jibu ni hapana wakuu wa mikoa na wilaya hawana kazi nafasi zao ni zakikoloni zaidi.
Komredi anatumia katiba ipi katika kutoteua hawa maafisa ile ya ZNZ au JMT. Nilikuwa nashauri akiteua wa Dar awe mwanamke kwani tangu enzi za mama chipungahewa (chips) haja teuliwa mwanamama tena. Naomba watumie vigezo walivyotumia kumpata current spika.