Nyami2010
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 227
- 50
Ndugu wanaJF
1. Inashangaza sana, Rais J.K amekuwa huko Brazil kwa takribani siku 10
2. Mhe. Rais amerudi na kuelekea kwenda kulala msibani Malawi.....wapi na wapi Rais mzima kulala msibani?
3. Malawi juzi juzi wametuma ndege zao kuvinjari mpaka wetu katika Ziwa Nyasa (Hoja ya Mhe. Komba)
4. Nchi imegubikwa na wimbi zito la tuhuma za ufisadi, mawaziri wake wanarumbana!
5. Waziri Mkuu kawekwa kitanzi shingoni
6. CCM yake inasambaratika kwa kasi.....!
Huyu Mhe. Rais Kikwete yukoje jamani????
1. Inashangaza sana, Rais J.K amekuwa huko Brazil kwa takribani siku 10
2. Mhe. Rais amerudi na kuelekea kwenda kulala msibani Malawi.....wapi na wapi Rais mzima kulala msibani?
3. Malawi juzi juzi wametuma ndege zao kuvinjari mpaka wetu katika Ziwa Nyasa (Hoja ya Mhe. Komba)
4. Nchi imegubikwa na wimbi zito la tuhuma za ufisadi, mawaziri wake wanarumbana!
5. Waziri Mkuu kawekwa kitanzi shingoni
6. CCM yake inasambaratika kwa kasi.....!
Huyu Mhe. Rais Kikwete yukoje jamani????