Igweeeee! Tumefika hapa baada ya pilikapilika ya utumbuaji mtumbuaji ameusoma mchezo na sasa amegeukia wale wanamletea umbea. Je nikweli kila mtu anahaki yakumpelekea rais umbea? Jibu ni hapana
Ukipata nafasi yakuwa na rais unapaswa kumpelekea issue za msingi sio watu kwasababu issue za watu mkulu anazijuwa kuliko unavyo zijuwa wewe anawatu maalumu wanao mpelekea issue za watu kwa undani hao watu upeleka umbea wote unao ujuwa wewe na hiyo ndio kazi yao maalumu.
Viongozi pia wapo maalumu wanao peleka umbea kwa baba ila ndio wanakibali wewe kama huna kaa kimya unajiaribia.
Je umbea wote unachukuliwa?
Hapana ipo team inachukuwa umbea wote kwenye mtandao nakufanya uchambuzi kisha ndipo yale muhimu yanapelekwa kwa team ya rais ikulu.
Je umbea ndio unao tumika kufanya maamuzi?
Jibu ni hapana umbea unachukuliwa kwanza na kufanyiwa uchunguzi na team maalumu kabla ya maamuzi.
Je kiongozi wa juu anapaswa peleka umbea on special occesion?
No fuwata channel unapo pata nafasi yakuwa na rais lazima uchunge maongezi yako maana unaongea na taasisi au ongea mambo yakushauri na kumpongeza.......
Ukipata nafasi yakuwa na rais unapaswa kumpelekea issue za msingi sio watu kwasababu issue za watu mkulu anazijuwa kuliko unavyo zijuwa wewe anawatu maalumu wanao mpelekea issue za watu kwa undani hao watu upeleka umbea wote unao ujuwa wewe na hiyo ndio kazi yao maalumu.
Viongozi pia wapo maalumu wanao peleka umbea kwa baba ila ndio wanakibali wewe kama huna kaa kimya unajiaribia.
Je umbea wote unachukuliwa?
Hapana ipo team inachukuwa umbea wote kwenye mtandao nakufanya uchambuzi kisha ndipo yale muhimu yanapelekwa kwa team ya rais ikulu.
Je umbea ndio unao tumika kufanya maamuzi?
Jibu ni hapana umbea unachukuliwa kwanza na kufanyiwa uchunguzi na team maalumu kabla ya maamuzi.
Je kiongozi wa juu anapaswa peleka umbea on special occesion?
No fuwata channel unapo pata nafasi yakuwa na rais lazima uchunge maongezi yako maana unaongea na taasisi au ongea mambo yakushauri na kumpongeza.......