Hizo ni story ambazo unanakiwa uwaambie Darasa la sabaMazrui kakutwa katika process ya kuhujumu ushindi 'matokeo' wa Hussein Mwinyi
Angefanikiwa labda Hussein Mwinyi asingekiwa Rais sasa mtu wa namna hiyo anasamehewaje!?!
Hakuna kuachiwa ova.
Kuhujumu kivipi?sasa imekuwa kuhujumu sio kesi ya kigaidi tena!?Mazrui kakutwa katika process ya kuhujumu ushindi 'matokeo' wa Hussein Mwinyi
Angefanikiwa labda Hussein Mwinyi asingekiwa rais sasa mtu wa namna hiyo anasamehewaje!?!
Hakuna kuachiwa ova.
Maridhiano gani tena?HABARI: Ninaheshimu maridhiano na matakwa ya Katiba ya kushirikiana na vyama vingine vya siasa katika kuendesha Serikali. Niko tayari kuyatekeleza maridhano kama Katiba ya Zanizbar inavyoeleza - Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar #MwanaHALISIDigital.
View attachment 1624518
HABARI: Ninaheshimu maridhiano na matakwa ya Katiba ya kushirikiana na vyama vingine vya siasa katika kuendesha Serikali. Niko tayari kuyatekeleza maridhano kama Katiba ya Zanizbar inavyoeleza - Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar #MwanaHALISIDigital.
=====================
KUMBUKUMBU.
Baada ya uchaguzi wa Zanzibar wa 2015 kufutwa Marekani kupitia shirika lake la misaada la Millennium Challenge Corporation (MCC) ilizuia pesa za mradi wa kupeleka umeme Zanzibar kiasi cha $472m karibu Tshs. Trn. 1. nafikiri hili somo kaliona Rais Mwinyi ndio maana anataka maridhiano.
US pulls Tanzania aid over Zanzibar poll - BBC News
A US government aid agency pulls $472m (£331m) of funding for a Tanzanian electricity project after criticising elections in Zanzibar.www.bbc.com
Haya mambo ya maridhiano ni uhuni mtupu. Yaani unaiba kwanza halafu uanatafuta maridhiano.HABARI: Ninaheshimu maridhiano na matakwa ya Katiba ya kushirikiana na vyama vingine vya siasa katika kuendesha Serikali. Niko tayari kuyatekeleza maridhano kama Katiba ya Zanizbar inavyoeleza - Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar #MwanaHALISIDigital.
=====================
KUMBUKUMBU.
Baada ya uchaguzi wa Zanzibar wa 2015 kufutwa Marekani kupitia shirika lake la misaada la Millennium Challenge Corporation (MCC) ilizuia pesa za mradi wa kupeleka umeme Zanzibar kiasi cha $472m karibu Tshs. Trn. 1. nafikiri hili somo kaliona Rais Mwinyi ndio maana anataka maridhiano.
US pulls Tanzania aid over Zanzibar poll - BBC News
A US government aid agency pulls $472m (£331m) of funding for a Tanzanian electricity project after criticising elections in Zanzibar.www.bbc.com
Hakuna MARIDHIANO pia ovaMazrui kakutwa katika process ya kuhujumu ushindi 'matokeo' wa Hussein Mwinyi
Angefanikiwa labda Hussein Mwinyi asingekiwa Rais sasa mtu wa namna hiyo anasamehewaje!?!
Hakuna kuachiwa ova.
Kuandamana ni haki zao kikatiba, Polisi kupiga na kuuwa watu wasio kuwa na silaha ni uvunjifu wa haki za BinaadamuHakuna cha uchunguzi wala nini
Nani aliwaambia waandamane na kufanya vurugu
Ebo!, uvunje sherie mwenyewe, janga likupate, halafu lawama ziwaendee wengine
Wangelitii sheria na mamlaka yasingeliwakuta ova.
Rais Mwinyi ajue mambo mawili muhimu, mosi CCM haiko chini yake na pili yeye hapo ni Rais wa Zanzibar yupo chini ya Rais wa Tanzania ambaye ni mwenyekiti wa CCM iliyompa ridhaa ya kugombea hivyo hana madaraka ya kufanya maridhiano bila ya kuruhusiwa na CCM ambayo ndiyo iliyopanga matokeo ya uchaguzi. Ninaamini hakuna atakayeungana naye kwa kuwa naye ni mtoto yuko chini ya baba, hivyo ni baba ndiye mwenye uamuzi huo wa kuomba ushirikiano.HABARI: Ninaheshimu maridhiano na matakwa ya Katiba ya kushirikiana na vyama vingine vya siasa katika kuendesha Serikali. Niko tayari kuyatekeleza maridhano kama Katiba ya Zanizbar inavyoeleza - Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar #MwanaHALISIDigital.
=====================
KUMBUKUMBU.
Baada ya uchaguzi wa Zanzibar wa 2015 kufutwa Marekani kupitia shirika lake la misaada la Millennium Challenge Corporation (MCC) ilizuia pesa za mradi wa kupeleka umeme Zanzibar kiasi cha $472m karibu Tshs. Trn. 1. nafikiri hili somo kaliona Rais Mwinyi ndio maana anataka maridhiano.
US pulls Tanzania aid over Zanzibar poll - BBC News
A US government aid agency pulls $472m (£331m) of funding for a Tanzanian electricity project after criticising elections in Zanzibar.www.bbc.com
Kilaza katiba inasemaje kuhusu maandamano.Hakuna cha uchunguzi wala nini
Nani aliwaambia waandamane na kufanya vurugu
Ebo!, uvunje sherie mwenyewe, janga likupate, halafu lawama ziwaendee wengine
Wangelitii sheria na mamlaka yasingeliwakuta ova.
NO!!!! Hakuna maridhiano yeyote yale mara hii mpaka pale CCM watakapokubali kuwashitaki wale wote waliowaua ndugu zetu na waliotuma kufanya hivyo. Yaani mauaji hadi sasa yanaendelea visiwani, watu wanatekwa usiku usiku na kupewa kichapo cha mbwa, halafu mnataka maridhiano?HABARI: Ninaheshimu maridhiano na matakwa ya Katiba ya kushirikiana na vyama vingine vya siasa katika kuendesha Serikali. Niko tayari kuyatekeleza maridhano kama Katiba ya Zanizbar inavyoeleza - Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar #MwanaHALISIDigital.
=====================
KUMBUKUMBU.
Baada ya uchaguzi wa Zanzibar wa 2015 kufutwa Marekani kupitia shirika lake la misaada la Millennium Challenge Corporation (MCC) ilizuia pesa za mradi wa kupeleka umeme Zanzibar kiasi cha $472m karibu Tshs. Trn. 1. nafikiri hili somo kaliona Rais Mwinyi ndio maana anataka maridhiano.
US pulls Tanzania aid over Zanzibar poll - BBC News
A US government aid agency pulls $472m (£331m) of funding for a Tanzanian electricity project after criticising elections in Zanzibar.www.bbc.com
Ewe Mola tumekukosa nini hata ukatuletea watu wenye mentality kama ya huyu? Kwa Namna hii hivi kweli Tanzania tutakwamuka hapa?Hakuna cha uchunguzi wala nini
Nani aliwaambia waandamane na kufanya vurugu
Ebo!, uvunje sherie mwenyewe, janga likupate, halafu lawama ziwaendee wengine
Wangelitii sheria na mamlaka yasingeliwakuta ova.
Si amependa urais uliopatikana kwa kumwaga damu , aendelee nao tu , sigida ya buree ndani maibilisi watupu .HABARI: Ninaheshimu maridhiano na matakwa ya Katiba ya kushirikiana na vyama vingine vya siasa katika kuendesha Serikali. Niko tayari kuyatekeleza maridhano kama Katiba ya Zanizbar inavyoeleza - Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar #MwanaHALISIDigital.
=====================
KUMBUKUMBU.
Baada ya uchaguzi wa Zanzibar wa 2015 kufutwa Marekani kupitia shirika lake la misaada la Millennium Challenge Corporation (MCC) ilizuia pesa za mradi wa kupeleka umeme Zanzibar kiasi cha $472m karibu Tshs. Trn. 1. nafikiri hili somo kaliona Rais Mwinyi ndio maana anataka maridhiano.
US pulls Tanzania aid over Zanzibar poll - BBC News
A US government aid agency pulls $472m (£331m) of funding for a Tanzanian electricity project after criticising elections in Zanzibar.www.bbc.com