Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB), Salum Yussuf Ali
Naomba msaada kufahamu maana ya Baraza la Mapinduzi
Asante sana MkuuBaraza la Mapinduzi Zanzibar - Wikipedia, kamusi elezo huru
sw.m.wikipedia.org
NoMkoa unaojaribu kujitutumua kuwa nchi.
#MaendeleoHayanaChama
Zanzibar inaingia mara 7 kwa wilaya ya NgorongoroNo
Ni nchi isiyokuwa na mamlaka,
Kuita mkoa umewashusha sana
Zanzibar ni kubwa kuliko comoro ila comoro wana mamlaka kamili na ndio juzi tu hapa tukawaona pale CameroonZanzibar inaingia mara 7 kwa wilaya ya Ngorongoro
Kwenye chama chenu asp walilazimisha neno mapinduzi liwepo Kama sharti la kuua chama Chao,we unaona maana yoyote ya neno mapinduzi pale ccm!!?...Asante sana Mkuu
View attachment 2122163
Hii mapinduzi inatokana na kumpindua Sultan au inatokana na nini maana naiona hata kwenye chama chetu
Bila Zanzibar hakuna Tanzania,Kuna tanganyikaMwinyi anaruka sarakasi
Kichwa cha habari kilipaswa kiwe "Mkuu wa mkoa wa Zanzibar atengua uteuzi wa kamishna
Asili yake ni wale walompindua sultan,kwa Sasa hakuna hata mmojaNaomba msaada kufahamu maana ya Baraza la Mapinduzi
Kamkoa ila kana vyeo rukuki..wilaya ni mitaa miwili..jimbo ni kata moja...absurd kabisa.Mwinyi anaruka sarakasi
Kichwa cha habari kilipaswa kiwe "Mkuu wa mkoa wa Zanzibar atengua uteuzi wa kamishna
Charles Hilary ana Kazi gan kama katibukiongoz kila barua anasign yeye. Nadhan wabadilishane nafasjRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB), Salum Yussuf Ali
View attachment 2122051
View attachment 2122057
🤣😆😂Kwenye chama chenu asp walilazimisha neno mapinduzi liwepo Kama sharti la kuua chama Chao,we unaona maana yoyote ya neno mapinduzi pale ccm!!?...
😂😆🤣🙏Asili yake ni wale walompindua sultan,kwa Sasa hakuna hata mmoja
Ni kweli mkuu jina la cha chetu limemezwa na kisiwaKwenye chama chenu asp walilazimisha neno mapinduzi liwepo Kama sharti la kuua chama Chao,we unaona maana yoyote ya neno mapinduzi pale ccm!!?...
Kanatunyanyasa balaa, kama ni katoto ni kale kananyonya ziwa mara kang'ate chuchu mara kapige mateke mama mtu basi tabu tupuKamkoa ila kana vyeo rukuki..wilaya ni mitaa miwili..jimbo ni kata moja...absurd kabisa.
#MaendeleoHayanaChama