Rais hapaswi kufanya kazi za kawaida za Rais akiwa nje ya nchi

Ukikuta kikundi Cha watu 10 waulize ,Tania nchi Ni nini?
Hutapatata jibu wengi watakuwa wanafikili labda Serikali imewaletea mbegu mpya za korosho, Tumbaku ,Alizeti,pamba au Aina mpya ya bodaboda au bajaji.

Sisi tupambane na vyumba vya madalasa,vyoo umeme na maji,Tania nchi haituhusu zaidi ya Nchi zenye viwanda.
ndg ! Htr ukame Kenya na hata sisi mabadiliko ni makubwa
 
Kimbunga kazi yake ni kutuelez ya Dr. Juma na Mkapa na siyo kuleta hoja kwa kuipachika swali kama walivyo watanzanua wengi.

Kinachojulikana ni kwamba Mkapa nje kwa siku kadhaa.

Inasemekana Dr. Omar akapitisha mambo ambayo Mkapa aliporudi akayahoji, wapo wanaosema ni vibali vya sukari.

Wapo wanaosema Mkapa alipohoji Dr. Omar akashtuka hadi ikapelekea akaugua ghafla na kufariki.

Kwa bahati mbaya siijui hiyo! Walitawala wakati nikiwa naishi nje ya nchi.
 
Waziri mkuu hawezi kukaimu urais. Mlolongo ni rais, makamu wa rais, spika na jaji mkuu.
Haya, huu ni uwanja wa wanasheria....... wakali wa kemia, fizikia na bailojia kaeni pembeni.

Ngoja tusubiri wanasheria wengine magwiji waingie ulingoni.
 
Wakati Rais Samia ambaye yuko Marekani, nje ya nchi, kamteua Rosemary Slaa kuwa Mwenyekiti wa bodi ya MSD.

Kaka,

Hili jambo ni zito tunahitaji msaada wa wazo la kila mtu. Hukusoma hoja ya mleta mada.

Mleta mada kajikita kwenye ibara ya 47 (1)(c) inayosema Rais akiwa hayupo ofsini Makamu anafsnya KAZI ZOTE ZA URAIS.

Wewe hujikiti na ibara hiyo unaleta masuaka ya barua ya kukaimisha ambayo huna uhakika kama kweli imeandika.

Hata ingeandikwa bado barua ya kukaimisha haizidi ibara hii ya 47 (1)(c) inayompa Philip Mpango urais wote yakishazidi masaa 24 Rais akiwa nje ya nchi.

Jikite kwenye ibara hii 47 (1)(c) aliyoiibua mtoa mada.

Kama sikosei Rais Nelson Mandela akiwa ziarani India aliwahi kufanya kosa la kumfuta uwaziri Winnie Mandela.

Ikaja kuonekana alifanya makosa aktungea amri ya kumfuta. Alivyorudi toka ziarani sasa akamfuta uwaziri hivyo Winnie Mandela akaacha kuwa waziri.


Labda tukuwekee hiyo ibara ya 47 (1)(c) uone inavyosema, inasema hivi,

"Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atakuwandiye Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla, na hususan-
atafanya KAZI ZOTE za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi."
 
Tunaambiwa hii ni awamu bora kuliko zote haijawahi tokea.

Katiba haivunjwi na wala hakuna ufisadi kabisa.

Ufisadi upo awamu ya tano tu.
 
Back
Top Bottom