ndg ! Htr ukame Kenya na hata sisi mabadiliko ni makubwaUkikuta kikundi Cha watu 10 waulize ,Tania nchi Ni nini?
Hutapatata jibu wengi watakuwa wanafikili labda Serikali imewaletea mbegu mpya za korosho, Tumbaku ,Alizeti,pamba au Aina mpya ya bodaboda au bajaji.
Sisi tupambane na vyumba vya madalasa,vyoo umeme na maji,Tania nchi haituhusu zaidi ya Nchi zenye viwanda.