Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
kuna moto umetokea dms jana. Jamaa wa zimamoto wakachelewa kufika wamechelewa sana.. Huyu kiongozi wa dsm anahojiwa redion anadai eti walivyofika walianza kwanza kuuliza kuwa moto umetokana na nini.. So wakakosa ushirikiano mwenye nyumba hakutokelezea kuwapa ushirikiano( can you imagine kama mwenye nyumba yupo ndani anaungua .WTF?)
Hivi kweli rais umekaa ofisini unaendelea kuwavumilia watumishi kama hawa hata kama shirika limebinafishwa au vipi ila mambo kama haya ni ya kijinga sana
Hivi kweli rais umekaa ofisini unaendelea kuwavumilia watumishi kama hawa hata kama shirika limebinafishwa au vipi ila mambo kama haya ni ya kijinga sana