sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
kwa mujibu wa taarifa za ukuaji uchumi duniani 2012 uchumi utakua kwa kasi ndogo ya 3.2% . na utaongezeka kidogo kwa 3% hadi 5% kuanzia 2013 hadi 2016, ili kukabiliana na hali hiyo RAISI G JONATHAN wa Nigeria amewapunguza mishahara watumishi wote wa umma kwa 25%