. Sasa sijui kwa marais we2 hawa,.. Je? Wataliliwaje? Nawasilisha
<br />Nakumbuka! Nyerere alipofariki,.. Wa2 wengi walibubujikw na machoz! Na huzuni ulitawala kila pande! Hi inatokana na matendo yake kwenye jamii. Sasa sijui kwa marais we2 hawa,.. Je? Wataliliwaje? Nawasilisha
<br />Mie nililia kwa furaha na nna uhakika wengi walikuwa kama mimi!
<br />Hakuna mtu anaependwa na watu wote, akifa kuwa watu watamlilia na wengine watafurahi hicho kifo chake!
<br />Hili ndilo tatizo letu kubwa wanadamu,tunawaza tukifa watu watafanyaje<br />
badala ya kuwaza kuta spend wapi eternity,....change your minds people,......<br />
<br />
Watu watalia siku moja,mbili,tatu,....then what?
Hujakosea ni rais wa moyoniDr. Wilbroad Slaa!
Mie nililia kwa furaha na nna uhakika wengi walikuwa kama mimi!