tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Rais Dr Magufuli hajapotoshw akuhusu mapato ya Halmashauri ya Majiji nchini kama alivyotoa taarifa hiyo alipokuwa anawaapisha viongozi aliowateuwa hivi karibuni Ikulu Dar es salaam.
Tusichanganye Halmashauri za Manispaa na Halmashauri za Majiji.....Rais alilinganisha Halmashauri ya Jiji la Dar na Halmashauri ya Jiji la Dodoma ambako makusanya kwa Dar ni Billion 16.8 na kwa Jiji la Dodoma ni Bilion 24.4
Nadhani Meya Boniface anatakiwa kuomba radhi kuhusu suala hilo baada ya kudai kuwa Rais kapotoshwa na akatoa takwimu kuhusu makusanya kwa kuchanganya Majiji na Manispaa wakati Rais alieleza vizuri kabisa kuhusu Majiji na Manispaa ambako Halmashauri ya Kinondoni ni yw amwisho kwa Munispaa huku kwa Majiji Mbeya ndiyo ya mwisho.
Tusichanganye Halmashauri za Manispaa na Halmashauri za Majiji.....Rais alilinganisha Halmashauri ya Jiji la Dar na Halmashauri ya Jiji la Dodoma ambako makusanya kwa Dar ni Billion 16.8 na kwa Jiji la Dodoma ni Bilion 24.4
Nadhani Meya Boniface anatakiwa kuomba radhi kuhusu suala hilo baada ya kudai kuwa Rais kapotoshwa na akatoa takwimu kuhusu makusanya kwa kuchanganya Majiji na Manispaa wakati Rais alieleza vizuri kabisa kuhusu Majiji na Manispaa ambako Halmashauri ya Kinondoni ni yw amwisho kwa Munispaa huku kwa Majiji Mbeya ndiyo ya mwisho.