RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,124
Rais Donald Trump aliwauliza washauri wake iwapo atoe amri ya kushambuliwa kwa vinu vya nyukilia vya Iran akiwa amebakiza miezi 2 aondoke madarakani.
Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa jarida la New York Times.
Hata hivyo washauri wake wa usalama walimuonya kutofanya hivyo kwa sababu hatua hiyo ita sababisha mzozo mkubwa kwenye kanda ya mashariki ya kati na kuyaweka na masilahi ya Marekani katika kanda hiyo kwenye hatari kubwa.
Hayo yana kuja baada shirika la atomic dunia kuripoti ya kwamba Iran imeongeza mara 12 kiwango cha urutubishaji wa madini ya uranian ya ile iliyo kubaliwa kwenye mkataba wa nyukilia yaliyo sainiwa na Irani na mataifa yenye nguvu duniani.
Chanzo ( DW Swahili, Aljazera)
Taarifa hiyo ni kwa mujibu wa jarida la New York Times.
Hata hivyo washauri wake wa usalama walimuonya kutofanya hivyo kwa sababu hatua hiyo ita sababisha mzozo mkubwa kwenye kanda ya mashariki ya kati na kuyaweka na masilahi ya Marekani katika kanda hiyo kwenye hatari kubwa.
Hayo yana kuja baada shirika la atomic dunia kuripoti ya kwamba Iran imeongeza mara 12 kiwango cha urutubishaji wa madini ya uranian ya ile iliyo kubaliwa kwenye mkataba wa nyukilia yaliyo sainiwa na Irani na mataifa yenye nguvu duniani.
Chanzo ( DW Swahili, Aljazera)