Rais Donald Trump aliwauliza washauri wake wa usalama iwapo aishambulie Iran kijeshi

Huenda Biden akairejesha Marekani kwenye ule mkataba wa nyuklia na Iran.

Ila pia huenda ataiwekea vigezo Iran vya kusitisha urutubishaji wa uranium ili kuwaondolea vikwazo.
kwani Marekan yeye hana vinu hivyo
 
Back
Top Bottom